Nyie watu sijui huu ujinga huwa mnalishwa na nani!! Eti China ndiyo inaongoza kuwekeza USA!! Ujinga huo alikufundisha nani??
Uwekezaji wa China nchini USA ni mdogo sana. Uwekezaji wa China nchini Marekani haufiki hata dola billioni 300.
Which country invests most in the USA?
The context of foreign investment in the United States : American market's assets and inconvenients, foreign direct investments (FDI) Inward Flow, main investing countries and privileged sectors for investing.
santandertrade.com
According to data from the Bureau of Economic Analysis, by foreign parent country, four nations accounted for half of total FDI in the U.S. by the end of 2023:
the Netherlands (USD 717.5 billion), Japan (USD 688.1 billion), Canada (USD 671.6 billion), and the UK (USD 630.1 billion).
Halafu kuna huo uwongo eti China inaikopesha Marekani. China haijawahi kuikopesha Marekani. Watu wanachokiiita ni mkopo kwa Marekani toka China, ni USA government treasury bills, ambazo hata wewe ukiwa na oesa unaruhusiwa kununua. Serikali ya China huwa inanunua hizo treasury bills.
Ufahamu kuwa China ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na wawekezaji wageni nchini mwake kuliko nchi yoyote Duniani. China siyo mwekezaji mkubwa nje ya nchi. Fahamuni kuwa pamoja na China kuwa na idadi ya watu zaidi ya mara tatu ya Marekani, lakini total GDP yake ni karibia nusu ya uchumi wa Marekani. Ndiyo maana kwenye uhalisia, China kiuchumi ipo chini sana kuliko USA.
Ndiyo maana kwa vigezo halisia vya maendeleo, Umoja wa Mataifa inaiweka China kwenye kundi la nchi zinazoendelea. Japo uchumi wake ni mkubwa lakini kutokana na uwingi wa watu, life standard ya mchina bado ipo Chini sana, ndiyo maana unawakuta huku kwetu wengine wanafanya biadhara ya kuchemsha mahindi, na kulala kwenye maghala kwa sababu ya umaskini.
China remains a developing country according to UN classifications.