Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Aaaah Kwani wakiendesha misa Ndio atafukuka Au?Mbona papa amebariki mashoga na kuwapokea kanisani licha ya udhaifu wao.
 
Kifupi wakatoliki sera zao zinapingana sana na bible,
Kwanza kitendo cha kumtenga mtu kwa jambo la kidunia ni la ajabu sana, na hii ni ego ya kitima kujiona yuko smart
 
Siku hizi JF imekuwa kijiwe Cha uongo, Mtu anaandika kinacho mfurahisha hivi hayo unayoyasema umeyatoa wapi lini kanisa llmetangaza, weka tangazo au barua tuone, Wengi tunachangia kama mazuzu bila kujiuliza Kwa chuki zetu dhidi ya ukatoliki.
 
Na kanisa wasiposhiriki kwenye shughuli za mazishi, Marehemu anapungukiwa nini?
Kuwepo kwa habari hii ni dalili tosha kuwa marehemu amepungukiwa. Angekuwa hajapingukiwa, isingekuwa habari
 
Kifupi wakatoliki sera zao zinapingana sana na bible,
Na wao ndio walioratibu uandishi wa hiyo hiyo bible unayoitumia. Nipo tayari kukuwekea jinsi Kanisa (hapa namaanisha RC) walivyoratibu uandishi wa bible, na wewe ujiandae kionyesha hiyo bible ya vitabu 66 uliitoa wapi kama sio subset ya bible ya RC
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
upuuzi mtupu...hovyo kabisa Rc
 
Kifupi wakatoliki sera zao zinapingana sana na bible,
Kwanza kitendo cha kumtenga mtu kwa jambo la kidunia ni la ajabu sana, na hii ni ego ya kitima kujiona yuko smart
mnooo hakuna mkamilifu hapa duniani
 
Rc wamejaa ubaguzi sana.
Waumini makapuku wanazikwa na Katekista ama Mwenyekiti wa jumuia.
Akiwa na uwezo kidogo ama anafahamika basi atakuja Padre,
Akipanda kidogo basi anakuja Paroko
Ukiwa maarufu sana ama tajiri mkubwa atakuja Askofu tena bila maswali maswali..hata kama ukiwa na wake wengi wanakuzika.
Hii dunia hiii mmmmh
Bilionea wa Arusha na mahela yake yote lakini kanisa halikushiriki mazishi yake.
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
Wanahubiri kusamehe saba mara sabini ikiwa wao hawatekelezi binadamu siku zote anazikwa na asiyo wajua aibu yao hao Tec!
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
Mimi nikifa hata padri asipofika fresh tu nizikwe na raia.
Japo sikuwa nakubaliana kuuzwa kwa bandari, lakini kwani mtu haruhusiwi kuwa na mawazo huru? Siasa za namna hii zitalipasua taifa. No wonder, waumini wa kanisa siku hizi wanatanga tanga kwa mwamposa, mara sijui kwa nani kwa sababu ya mambo kama haya
 
Mimi nikifa hata padri asipofika fresh tu nizikwe na raia.
Japo sikuwa nakubaliana kuuzwa kwa bandari, lakini kwani mtu haruhusiwi kuwa na mawazo huru? Siasa za namna hii zitalipasua taifa. No wonder, waumini wa kanisa siku hizi wanatanga tanga kwa mwamposa, mara sijui kwa nani kwa sababu ya mambo kama haya
Kanisa Katoliki huwa halibembelezi maana haifanyi biashara. Kama Kingunge Ngombale Mwiru na Ruge Mutahaba walikataliwa ibada, sembuse wewe?
Kanisa RC litakufundisha kwa nguvu zote uelewe imani, ila ukijitenga linakuacha maana ni uamuzi wako. Usifikiri RC huwa wanaingia hofu kusikia sijui umeenda kwa Mwamposa au nani sijui, wala hawahangaiki, wao wana deal na waumini wao tu waliopo. By the way, ulishawahi kusikia Mwamposa anaendesha ibada ya mazishi, ubatizo au ndoa? Hilo nakuachia utafakari
 
Back
Top Bottom