Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Hizi ni sheria za Kanisa na sio za kushtukiza, kila mkatoliki aliye hai na ajue ya kwamba ashirikiane na kanisa kipindi cha Uhai wake ili kanisa lishiriki nae hata siku yake ya MWISHO HAPA DUNIANI.

Kila mkatoliki ajue ya kwamba kuziishi amri za Mungu na Sheria za Kanisa ni jambo la muhimu na Msingi katika maisha yake ya Duniani, Maisha ya Duniani yasituhadae tukasahau ushirikiano wetu na Mungu na Kanisa.

Umaarufu wa Duniani usituweke Mbali na Mungu na Kanisa, Ruge, Mrema wa Ngurdoto, Kingunge.. etc. hao wote hawakuzikwa na Kanisa kwa sababu hawakushirikiana na kanisa kipindi cha uhai wao hapa duniani.

ROMA LOCUTA, CAUSA FINITA EST.
Watu wanataka wavalishwe taji wasilostahili.

Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume.
 
Ndio hii inashangaza.Mungu ndio anayehukumu.Inakuwaje binadamu tunahukumu?
Tofautisha hukumu ya Mungu na hii ya kupewa heshima na kanisa siku yako ya mwisho. Hukumu ya Mungu ipo pale pale hata kwa anayezikwa kwa ibada ya kanisa hii ni kulingana na maisha ya mtu.

Shirikiana na kanisa na fuata amri za Mungu na za Kanisa kama unataka kanisa likupe heshima ya ibada ya mwisho.
 
Kwani wao ndo wenye uamuzi wa nani aingie mbinguni au hapana. Wanaona jamaa mchochezi kama TL alivyokuwa anasakamwa? Waache utoto
Mkuu rudia kusoma,wao wamekataa kumfanyia ibada kwa mujibu wa taratibu na kanuni za Wakatoliki.
Hawajamzuia kuingia Mbinguni kwakuwa hiyo siyo kazi yao.
 
Mkiristo akifa akiwa bado Mkiristo basi ni hasara kubwa kwake
Nawe ukifa katika umaamuma wako ujue ni motoni tu
FB_IMG_1700579192159.jpg
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
One, holy, apostolic, Catholic church
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
Wangetafuta shekhe kazi kwisha. Silimisha Maiti na zika
 
PIGO LA MWISHO KWA THADEI OLE MUSHI.

Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.
Kwa vitendo hivi vya RC mimi namushukuru Mungu kunifanya kua Muislamu, huo ujinga kama huo huwezi kuuona.
 
Hapa ndio dini yangu huwa inanichosha kabisa!

Hata wakatae kumsalia, what difference does it make to a dead man?🧟‍♂️ AbsoFREAKINGlutely NONE!!!!
Bila shaka wewe Dr Lizzy hujui nguvu ya kitu kinachoitwa "DINI" ktk maisha ya watu...

And as for this, Yes, it makes a big difference and on the other hand it doesn't make any for people like you..

👉Haileti tofauti yoyote kwa mfu (maiti) kwa sababu hana uhai tena, amekufa. This is a dead fact..!

👉 However, on the other hand there's a living fact. Kwamba, hii inaleta maana na tofauti kubwa sana kuliko akili yako iwazavyo hasa kwa sisi (mimi, wewe na wengine wote) hususani nduguze marehemu walio hai..

That's why wanahangaika huku na huku kwa ajili ya maiti yao. Why?

Ni kwa sababu hayo ni matokeo ya maisha aliyoyaishi ndugu yao alipokuwa hai, kwamba mwisho wa siku waje wahangaike wanapotaka kumzika..!!

√ Ukiwa na mahusiano mabaya na watu automatic hutakuwa na mahusiano mema na Mungu. Au hujui kuwa imeandikwa mahali fulani ktk Biblia kwamba;

"....utasemaje una mahusiano mema na Mungu usiyemwona iwapo una uhusiano mbaya na nduguyo unayemwona....?"

√ Baada ya kifo chako, walio hai (nduguzo na marafiki zako) lazima wa - feel na kukabiliana na matokeo ya maisha yako uliyoyaishi duniani ukiwa hai.

√ Usifikiri mambo ni rahisi kwa hawa ndugu kwa kufanyiwa hivi na dini yao. It's obvious kuwa, hawa nduguze huyo marehemu are psychologically & emotionally very much disturbed na yanayaowakuta sasa..

√ Wangekuwa wana fikiri kama wewe kwa kauli ya "what difference does it make", wangepakia maiti wao kwenye pick up na kwenda kumzika huko au kmtupa wanakojua wao. Lakini walianya kila njia ili ndugu yao azikwe kwa protocol za kidini waliyoiishi maisha yao yote

Sasa kama ulikuwa hujui nguvu ya DINI ianze kuijua leo na fanya kila uwezalo Dr Lizzy kuiheshimu dini uliyoamua kuwa nayo...

Kama umeamua kuwa ktk dini ya shetani, iheshimu na fuatana misingi na kanuni zake. Kama umeamua kuwa ktk dini ya Mungu Yehova wa kweli, hivyo hivyo iheshimu na ishi kwa misingi na kanuni zake..

Acha kujifariji na vijikauli kama "what difference does it make". Mimi nakuambia, everything makes big difference to one another..!!
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
Kwaio Kwa watakao mlinga PAPA juu ya ushoga na Ndoa za jinsia Moja watakiona?!
 
PIGO LA MWISHO KWA THADEI OLE MUSHI.

Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.
mnahukumiana duniani? huyo mungu atafanya kazi hani?
 
Na kanisa wasiposhiriki kwenye shughuli za mazishi, Marehemu anapungukiwa nini?
Sasa km hapungukiwi kitu,Kwanini ndugu zake walienda Kanisani kuomba huduma ya mazishi?.Si wangezika tu bila mizunguko yote hiyo?!!.Ndugu zake wanafahamu Maana yake ndio Maana walipiga mizunguko yote hiyo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Sasa wasipomzika ndio nini? Unajua kuna adhabu za kipuuzi sana watu mnaoamini dini mnatishiwa navyo. Yani mimi nife akatae kunizika shekhe, mchungaji, padri, askofu au yeyote anayejiona eti ni mtu wa Mungu na asinizike tu! Nishakufa nimekufa. Hizo ibada zenu za mazishi ni tamaduni mlizoiga tu kutoka huko mlikozitoa. Huyo Ole Mushi ni vivyo hivyo.
 
sidhani kama ni hivyo
inawezekana zipo kabisa sababu zingne za kichungaji ambazo muumini mwenyewe anahusika nazo.
lakini kwa maelezo yako hakukosa MISA. sema sio kama ilivyotarajiwa
 
Hapa ndio dini yangu huwa inanichosha kabisa!

Hata wakatae kumsalia, what difference does it make to a dead man?[emoji3446] AbsoFREAKINGlutely NONE!!!!

Ujumbe hautumwi kwa deadman,unatumwa kwa wakio hai.
 
Back
Top Bottom