hapo lazima itakate mkuu! kwa ndoo zote hizo za maji!!!!!!Ni aina ya Huoniao(HN-125) ipo kwenye hali nzuri kabisa,
Ikiwa unatafuta pikipiki ya kununua, basi umepata,
Tuwasiliane 0693347206View attachment 663729View attachment 663731View attachment 663732
hahaa ,nikwelihapo lazima itakate mkuu! kwa ndoo zote hizo za maji!!!!!!
Weka bei una maana gan kuweka tangazo bila beiNi aina ya Huoniao(HN-125) ipo kwenye hali nzuri kabisa,
Ikiwa unatafuta pikipiki ya kununua, basi umepata,
Tuwasiliane 0693347206View attachment 663729View attachment 663731View attachment 663732
alivyo mjanja akaipolish na cocacola haha! watu wabunifuhahaa ,nikweli
Pembeni naona kopo la jiki[emoji1] [emoji1] [emoji1]hapo lazima itakate mkuu! kwa ndoo zote hizo za maji!!!!!!
Cocacola kumbe ni kiboko mkuu! Nilikuwa sifahamu.alivyo mjanja akaipolish na cocacola haha! watu wabunifu
Wewe si muhitaji, Ila upo kwa ajili ya ku audit ishu zakoCocacola kumbe ni kiboko mkuu! Nilikuwa sifahamu.
Ilo ndilo uliloliona lakini si muhitaji wa pikipiki wewehapo lazima itakate mkuu! kwa ndoo zote hizo za maji!!!!!!
Hakika umefauluhapo lazima itakate mkuu! kwa ndoo zote hizo za maji!!!!!!
Wapi kwenye tangazo wamesema milioni tank!!??, au na wewe kuna kitu chako unauza bei hiyo!!??milion tano mbona ghali sana mkuu?
Njoo inboxnipe bei, au nije inbox