INAUZWA Pikipiki Inauzwa

INAUZWA Pikipiki Inauzwa

Unaweka Tangazo bila ya kuwa na bei unategemea nn hasa? Mategemeo ni kupata comments kama hizo hapo juu
Wahitaji tayari wameshajua wapi pakupata bei na wameshaipata
 
Kaka biashara yako, ukapiga picha mwenyewe, ukapost mwenyewe,mbwembwe za nn na hasira.
Free market, biashara huria ukiwa kitu ukihitaji sio lazima u comment,

U can just leave it,

Yani unafanya kama unapotezea vile maana muda wako ni mali sana kwa kutengeneza future yako, kuliko kupoteza muda katika vitu ambavyo uvihitaji
 
Million tank corolla full ac na chenji Pkpk hiyo sio being unatania sema laki tano watu tunaweza kuzungumza Fekon mpya 1.9m
 
Kaka biashara yako, ukapiga picha mwenyewe, ukapost mwenyewe,mbwembwe za nn na hasira.
Free market, biashara huria

Fanya kama unaipotezea vile,
Maana muda wako ni mali sana kwa kutengeneza future yako, sasa ukipoteza muda kwa kitu usichokihitaji inakua sio
 
Nimem- pm jamaa anadai eti anaiuza milioni tano na laki tano. Nimeona huyu chizi wa mwaka 2018.
 
Back
Top Bottom