Pilau vs Biriani

Pilau vs Biriani

Kwa kweli anaekula Mandi atasahau zote hizo
Mimi kila wiki lazima nipate Mandi
zx9xhc2V.jpg
Arabian-MUtton-Mandi-recipe-scaled.jpg
 
kuuliza sio ujinga,,,hyo mandi ipo kama wali na nyama au ni vp?naona kama kuna korosho hapo
Usijali...
Ipo kama unavyoiona hapo...Ni wali na nyama...ila nyama zinakuwa mapande makubwa unawekwa viungo mbali mbali...wengine wanaweka Korosho pia...

Hicho chakula Asili yake ni Somalia huko.. Ukienda restaurants zao...unawakuta na Wabongo pia wanakula wakiwa wamekaa kwenye Mikeka na visinia vyao
Cc Black Sniper kuja ongezea....
Au bado upo msibani[emoji1787]
 
Usijali...
Ipo kama unavyoiona hapo...Ni wali na nyama...ila nyama zinakuwa mapande makubwa unawekwa viungo mbali mbali...wengine wanaweka Korosho pia...

Hicho chakula Asili yake ni Somalia huko.. Ukienda restaurants zao...unawakuta na Wabongo pia wanakula wakiwa wamekaa kwenye Mikeka na visinia vyao
Cc Black Sniper kuja ongezea....
Au bado upo msibani[emoji1787]
aisee kwa hapa dar ni mgahawa gani wanauza?
 
Usijali...
Ipo kama unavyoiona hapo...Ni wali na nyama...ila nyama zinakuwa mapande makubwa unawekwa viungo mbali mbali...wengine wanaweka Korosho pia...

Hicho chakula Asili yake ni Somalia huko.. Ukienda restaurants zao...unawakuta na Wabongo pia wanakula wakiwa wamekaa kwenye Mikeka na visinia vyao
Cc Black Sniper kuja ongezea....
Au bado upo msibani[emoji1787]
Haha kweli ni mlo mtamu sana na Wasomali wameiga kwa Wayemen ndio asili yake huko unajua tena wasomali na Yemen ni dugu mocha haha

Niko home ila tumekuwa boring maana wajeda wamemwagwa mji wetu kama kuna vita yaani mpaka traffic light zinatolewa sijui kwa nini

Ila kesho alikoalikwa Mama na mimi najisogeza sijui Indian restaurants
 
Haha kweli ni mlo mtamu sana na Wasomali wameiga kwa Wayemen ndio asili yake huko unajua tena wasomali na Yemen ni dugu mocha haha

Niko home ila tumekuwa boring maana wajeda wamemwagwa mji wetu kama kuna vita yaani mpaka traffic light zinatolewa sijui kwa nini

Ila kesho alikoalikwa Mama na mimi najisogeza sijui Indian restaurants
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poleni....endelea kutupa Updates...
 
Back
Top Bottom