Ella Fitzgerald
Member
- Mar 30, 2023
- 78
- 191
Mkuu wengi wanakutana clinicHivi wale wenye virusi wanapataje wenza wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wengi wanakutana clinicHivi wale wenye virusi wanapataje wenza wao?
Hili nalo neno. Sema watoa mimba wanajulikana.. hakuna kupoteza damu ya mtu bure bureSasa si unaweza ukatest miaka na miaka..kwa sbb sio kila danger days zinaweza kukupa jibu chanya..maana hapo kuna ishu za homone imbalance...n.k
Kwamba? Tumbo limeshuka au? Titri zimelala au? Yani unajuajeee... mkuu huwezi jua bana. Ni kama wenye HIV huwezi watambua kwa machoHili nalo neno. Sema watoa mimba wanajulikana.. hakuna kupoteza damu ya mtu bure bure
Unajua mtoa mimba ni sawa na muuaji mwingine tu, ukikaa nae kwa mda mrefu uta note kuna vitu havipo sawa. Ila haya maisha kuna kipindi kama una bet tuKwamba? Tumbo limeshuka au? Titri zimelala au? Yani unajuajeee... mkuu huwezi jua bana. Ni kama wenye HIV huwezi watambua kwa macho
Yah sure niliwahi kusikia kuna tabia fulani zinajireveal...sijui ndo zipi hizo..Unajua mtoa mimba ni sawa na muuaji mwingine tu, ukikaa nae kwa mda mrefu uta note kuna vitu havipo sawa. Ila haya maisha kuna kipindi kama una bet tu
Yah! ukikaa na muuaji ndani ya mda mchache sana utamgundua tu, hasa wadada watoa mimba kaa uwasikilize utajua tuYah sure niliwahi kusikia kuna tabia fulani zinajireveal...sijui ndo zipi hizo..
Kwakweli maisha ni kubet
Wanajitoa ufahamu au sio...hawana upendo...wana dead feelingsYah! ukikaa na muuaji ndani ya mda mchache sana utamgundua tu, hasa wadada watoa mimba kaa uwasikilize utajua tu
wana feel guilty.. ukianza zungumzia uzazi na uzao.. kuna kitu huwa wanashindwa hide.. ujue nyie mpo na emotion kubwaaa sana..Wanajitoa ufahamu au sio...hawana upendo...wana dead feelings
Wapi wnapata wenza na mie nikapate maana jf nilifhani ni greater thinkers nitapata mke kumbe loh ukisema una ngoma tuu unakwepwa kama ukomaHivi wale wenye virusi wanapataje wenza wao?
Aisee hii ya sickle cell imenikuta. Aisee ile pisi ni mzuri hatari. Alafu alikuwa very humble lady familia njema. Eeh bwana nikakaa nakuwaza mhm mzabzab kweli utaweza safari za hospital...ikabidi nimtose tuu mrembo wa watu ila katika pisi kali nilizowahi kugegeda yule alikuwa top of the topHivyo vitu umetaja hapo ndivyo mitihani yenyewe sasa ambayo ukiwa nayo sasa utaprove kuwa unampenda mtu ya dhati ama unaigiza.
Imagine umepata pisi kali halafu unakuja gundua ina Sickle cell anemia. Unafanyaje utamuacha, sasa hapo ukisamama nae ndipo utaprove mapenzi ya kweli kwake.
Au una mwanamke wako vizuri tu halafu akapata ajali ambayo ikamfanya kupooza mwili mzima, utamuacha na hapo ndoa yenu ina week mbil tu.
Nadhani tujifunze kuwa upendo haunaga standards. Wewe unaweza pima hivyo vipimo vyote na mwanamke wako na mkakuta mpo salama ila ukashngaa ukapata tatizo ambalo likakuacha mgonjwa na hujiwezi hata kidogo, je huyu mpenzi wako atakuwa katika hali gani kwenye kukupenda wewe?!
Nadhani ifike wakati tujue tu kuwa MUNGU ndie anatupa mazingira yake ya kufurahia haya maisha so tumuombe neema na kudura zake ili atuhakikishie furaha muda wote katika hali yoyote ile bila kuyumba sana.
Sasa unamtosaje mwenzio wakati na ww unameza njugu?Aisee hii ya sickle cell imenikuta. Aisee ile pisi ni mzuri hatari. Alafu alikuwa very humble lady familia njema. Eeh bwana nikakaa nakuwaza mhm mzabzab kweli utaweza safari za hospital...ikabidi nimtose tuu mrembo wa watu ila katika pisi kali nilizowahi kugegeda yule alikuwa top of the top
Yahh..hatuwezi kufichawana feel guilty.. ukianza zungumzia uzazi na uzao.. kuna kitu huwa wanashindwa hide.. ujue nyie mpo na emotion kubwaaa sana..
Alafu wee mwanana simba ndio nini hii uneandika 🤣🤣🤣🤣Sasa unamtosaje mwenzio wakati na ww unameza njugu?
Kweli kabisa...endelea kula vzr punguza uchakataji wa mbususu mbona ww unaishi kabisa mpka kujigalagazaAlafu wee mwanana simba ndio nini hii uneandika 🤣🤣🤣🤣
Sickle cell na hiv, hiv ni bora maana silazwi hospital mara kwa mara
Pole mkuuMengine sawa lkn HIV , Hepatitis na magonjwa mengine ya zinaa unaweza kuletewa tu ndani ya nyumba hata kama kabla ulishampima- naandika huku natetemeka sana ila ndiyo maisha. That's life.
😭😭😭
Umeona eeh alafu uzuri wa hiv wala huna shida ya sijui arv, wee ni msosi mazoezi, maji kwa wingi na kulala vyakutosha. Mwaka wa 16 nadunda mzeya.Kweli kabisa...endelea kula vzr punguza uchakataji wa mbususu mbona ww unaishi kabisa mpka kujigalagaza
Getting married now is the riskiest decision a man can make both financially and health wiseMengine sawa lkn HIV , Hepatitis na magonjwa mengine ya zinaa unaweza kuletewa tu ndani ya nyumba hata kama kabla ulishampima- naandika huku natetemeka sana ila ndiyo maisha. That's life.
😭😭😭
Nimeshuhudia moja ambayo Binti alikuwa amezoea kutoa mimba mpaka kizazi kikatoka Kwa kutotumia njia salama za utoaji mimba. Then akaingia kwenye ndoa, mume anajaribu kupata mtoto bila mafanikio kumbe hamna kizazikizazi hakiishi mayai., myth.