Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Serikali kukataza hii ni kuchochea ujangili tuu. Huwezi kuwaambia watu walale njaa wakati wanyama wa kuuza wapo. Ni akili finyu.
Sawa hakuna kuwauza badala yake vutia watalii waje kuwatazama. Mchukue Christiano apige picha na Pundamilia na Twiga. Uone kama watalii hawatakuja kuwatazama hao wanyama. Mchukue Ed Sheeran naye aje hivyohivyo.
 
Yaani aruhusu yeye na kuzuia yeye afu minyumbu inasifu...teh teh
Hao ndiyo wanawake waliopata vyeo kwa kutumia tobo zao za chini nasi Akili zao vichwani
 
Hizi issue zao ndio zinafanya wananchi wanakuwa na hasira sana!
Kuna haja gani ya kuuza wanyamapori hai nje ya nchi! ni kwamba tuna shida sana ya pesa au!!!
Kwa maslahi ya nani!?
Kisha utawasikia wanasema mama anachukiwa kwa sababu ya dini ....kweli CCM NI MAVII
 
Hilo ni group la kaole
 
Acha zako wewe
 
Kwamba alikuwa hana taarifa ?!!!!

Ni mangapi yanafanyika / yatafanyika bila yeye kuwa na taarifa ? kwahio hili lilipita / lilijadiliwa bila yeye kufahamu lolote ? Au kosa lililofanyika ni taarifa kutolewa badala ya kufanyika kimya kimya
 
Usimlaum waziri! Rais mzigo tena wa misumari! Ujuaji mwingi na kujifanya kuelimika kumbe wizi! Jiulize Kinana na kashifa za ujangili eti makamu mwenyekiti wa CCM! Hahahahah

Waziri Mzigo Yaani Shida Sana

 
Umemuona huyu jangili ndo mambo yote huyu! Hata huruma hata kidogo!
 
Wewe taahira si chwa wa masa 100! Kila siku kushangilia hata kama akijamba! Kwendra zako!
 
Nchi haina rais
 
Kwanza tambua anaitwa

PINDI na serikali sidhani Kama mawasiliano hayapo Ila ndo utaratibu wake kuleta Jambo jamii ikihamaki tu. Wanalikataa
 
AtaKuwa Alilipitisha bila kujiridhisha vya kutosha. Lazima Km wake anajua, Sana Sema ameona negative reaction kaamua kusitisha
 
Waziri wa maliasili Chana Pinda akiongea kwa gadhabu kuzuia wanyama kusafirishwa nje ya nchi wakati tayari wanyama kibao wamekwisha safirishwa kimyakimya kwa haraka sana wameelekea Marekani na uarabuni.
Taarifa za kiintelijinsia zimethibitisha na muda si mrefu ushahidi tutauweka hadharani hapa jukwaani
 
Naona kama kuna picha tuna chezewa hapa, mlioko huko wanako pitishwa hawa wanyama muwe macho kutujuza na sisi wa vijijini ili tujue nini kinaendelea huko
Pigeni mawe hayo magari
 
Mijizi kweli alfu watu wanasema watalihi wamepungua Bila kutaja sababu za msingi

Alfu ajabu Zaid Ni kuwa taarifa hyo inatoka baada ya hutuba ya wizara yake kupitishwa bila hicho kipengele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…