Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Zitto kupanda ndege hakufanyi mimi na wewe tufikiri kuwa katika matatizo yote ya nchi hii, ndege ni muhimu. Hiyo ndege aliyopanda Zitto, ilimpelekea mama wa kijijini maji safi ya kunywa, ilimnunulia dawati mtoto ambaye hana dawati shuleni? Msituminishe kuwa lengo la ndege ni Zitto kupanda. Zitto akipanda basi Watanzania wote tumefaidika?
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
 
Kampuni ya Airbus huijui? Si ukawaulize hizo ndege wanauza shs ngapi?

Kweli hapo ufipa hata kuingia kwenye mtandao hamuwezi mpaka msubiri Magufuli awaambie?
Kwa hiyo awaulize Airbus bei ya ndege za Boeing? Upo sawa upstair??
 
Mkuu kwa IQ ndogo waliyo nayo watanzania CCM itatawala milele.wameshindwa kabisa kutafsiri nini bwana ZZk alikuwa anamaanisha
 
Jiwe bwaana! 😅, Leo amekopy na kupaste wimbo wa hadithi tuliyokuwa tunaasimuliwa na bibi yetu mmoja wa kiha:
Manju: Mningwa hanyelee, Mningwa hanyelee, Mningwa hanyelee!
Waitikiaji: Mningwa hanyelee, Mningwa hanyelee, Mningwa hanyelee!
Manju: Alisema ha...gii!
Waitikiaji: Mningwa hanyelee!
Manju: .. na Sasa ame....aa!

Waitikiaji: Mningwa hanyelee!
.
.
. TOO LOW! 😅😅😅💥
 
Acheni ujinga..

Hilo bango hakuna mwananchi anaweza ligharamia..

Huyo ni meko mwenyewe kaprint kwa kodi za wananchi..

Mbinu za kizamani na mawazo ya kimaskini.

Bukoba hatufanyi huo Ujinga.
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
 
Shida yenu ni moja tu, na hata hivyo siwashangai ninyi vijana wa Chadema, maana kawaida yenu ni kutaka kitu msichokijua

2015, Viongozi wenu walikuwa na nyimbo zao nzuri Sana bungeni, lakini leo mnaziruka tena,
Ni kina Nani waliokuwa wanasema, wanataka kiongozi mwenye udicteta?
Ni kinanani walisema, Wanataka Raisi asiyesafirisafiri kwenda nje?
Ni kina Nani walisema, Tunataka Raisi mkali asiyechekacheka?

Yote hayo mmejifanya hamyakumbuki, kana kwamba hamkusema ninyi

Kina Nani waliokuwa wanadharau nchi Kwa kukosa ndege hata moja? Eti nchi inazidiwa na Rwanda, Ka nchi kadoogo kanatuzidi?

Leo mnakataa tena? Waghosha!!
Ninyi ni malofa na wapumbavu, huwa HAMJUI mnataka nini,

Chama chenu ni cha hovyo Sana na watu wenu wote ni walaghai na makanjanja
Umemuona rwanda anapasua anga kimataifa wewe unaruka kwenda wapi
 
Usikwepeshe, walisema hawataki maendeleo ya vitu. Wakataja ndege,madaraja si mabarabara, majengo ya hospitali na sgr.


Huo ni uongo mkubwa sana unaowazulia akina zitto, wao wanataka "KWANZA" maendeleo ya WATU halafu ndipo maendeleo ya vitu.

Wao na hata mimi na hata baba wa taifa tunataka kwanza maendeleo ya watu ndipo maendeleo ya vitu, maendeleo ya watu ni kama:- Uhuru na haki zao, Afya (huduma za afya bora, madaktari, vifaa tiba, madawa nk ), maji safi ya kunywya nk, lishe bora, watu waweze kujijengea makazi bora nk, mzunguko mzuri wa pesa, mazingira bora ya kufanya biashara, kilimo ufugaji nk, (kuondoa kodi gandamizi), wafanyakazi wa serikali wapewe haki zao zilizopo kisheria nk, uhuru wa watu kupata habari na kutoa habari kuhusu nchi yao, usalama wa watu na mali zao, wananchi wapewe nafasi kuchangia katika uchumi wa nchi na kuepukana na uchumi dola nk,--- hiyo ni baadhi ya maendeleo ya watu kwanza baadaye ndipo maendeleo ya vitu yaje.
 
Usiri upi mkuu wakati bei imerangazwa, kama kuna ufisadi mngekwenda kiwandanu mkachukuwe data ili mje kumuumbua JPM.
Kusubiri bunge imgeongeza gharama za manunuzi...bei ya ndege plus vikao vya bunge maana hata kama bunge lingejadili bado bei ingekuwa hiyo hiyo
Jibu trilioni 1.5 ziko wapi
 
HIVI LISU ANAGOMBEA CHEO GANI HAPA TANZANIA??
YAAAN KWA HALI ILIVYO, MFANO KABISA MKOA WAKIGOMA, AMBAO NDO MKOA WENYE MSIMAMO NAMBA MOJA TANZANIA, KWAJINSI WALIVOMPOKEA MAGUFULI AMBAYE NI MWANACCM, HII NI ISHARA BWANA LISU NI HELI AOMBE APEWE UKUU WA WILAYA.
Onesha malori yaliyowasomba hao watu
Na fiesta ya wasanii
 
Tanzania ndo nchi pekee duniani ambayo bado baadhi ya wananchi wake wanaamini mali za umma ni za raisi wao na ndiye mwenye mamlaka ya kuwapangia matumizi 😛 😛 😛
 
Kampuni ya Airbus huijui? Si ukawaulize hizo ndege wanauza shs ngapi?

Kweli hapo ufipa hata kuingia kwenye mtandao hamuwezi mpaka msubiri Magufuli awaambie?


Nyie watu wa Lumumba ni shida sana, mtu anafuja pesa yetu kununua vitu tusivyohitaji tunapo muuliza kulikoni mnatujibu; "nendeni dukani kuulliza bei ya hivyo vitu".

Hiyo ni sawa mtu atumie pesa yako kununulia pombe na ukimuuliza bei ya pombe aliyonunua anakuambia nenda kaulize bei kilabuni !! 🙉--- nyie mmelewa madaraka kiasi kwamba mnadhani mnayo haki ya umiliki wa milele wa nchi hii, ipo siku mtajua tu kwamba watu tumechoka.
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli?? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 October mtanyolewa kwa wembe mkali sana.View attachment 1573768
Hivi kwa akili yako ya kuvukia barabara,kuna mnyonge wa Tanzania mwenye uwezo wa kutengeneza Bango la aina hiyo?kumbuka;wastani wa kipato cha mtanzania kwa sasa ni USD 1080.00 kwa mwaka
 
Mmenunua ndege kinyume na sheria na ndege zenyewe zinalitia taifa hasara.
Kisha mkaua mashirika FAST JET na PRESICIONS AIR kwa hiyo mlitegemea Zitto asafiri na punda kwenda Kigoma? Magufuli hakika kaishiwa hoja, mnatengeneza bango Dar na kwenda nalo Kigoma ili mseme watu wa Kigoma wanamsuta Zitto? Utoto mtupu!
Subirini muondoje kisha mtashuhudia ya Kagera. Magufuli kuondoka tuu, mbunge kaitisha mkutano wa kutisha huku watu wakimkejeli magu na wasanii wake kuwa wamecheza muziki wa bure aende nao tena.
CCM mnakwama wapi kutumia akili?
 
Back
Top Bottom