Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Tena kwa nyie mnaojua style za popo kanyea mbingu....

Mtapewa vitengo mpaka vya sirini humo. All the best usinisahsu sasa ukitoboa [emoji41][emoji6].

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem umenishinda
 
Huo sio uzalendo; kwa hiyo unashauri nikiishiwa na utamu nisipewe?😀

Ukiishiwa pesa kapewe utamu nyumbani kwako
Huko kwingine lazima ulipieeeeee. Vinginevyo kila piskali unayoitamani oa uhudumie na kuhudumiwa fulltime
 
Ukiishiwa pesa kapewe utamu nyumbani kwako
Huko kwingine lazima ulipieeeeee. Vinginevyo kila piskali unayoitamani oa uhudumie na kuhudumiwa fulltime
Ebu niombee hili pepo la kutamani tamani linitoke 😀😀
 
Nimeyapokea udugu yananukia vizuri!!
Mtoto wa mama mkwe kapata type yake inayomuelewa kwann asiwe na raha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ongezaaa sautiii uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…