Pisi zitaniua

Neno linasema ;

Ebr 8:12
Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.

Waulize waoliofanya Uzinzi kabla yako Mambo yanaendaji in their life circulation .

Unabidi kujitenga na Uzinzi tangu ukiwa Mdogo sio unayajua haya mambo ukubwani na unayajua baada ya kufanya Uzinzi mkubwa ambao umeota Mbawa .

Hiyo italipwa Mkuu uzagamuaji hauna msamaha.
 
Kama unapenda mambo hayo, siwez kukushauri "nyeto", ikikuzoea itakuja kukulegeza na kukulemaza mazima.

Tafuta dem mbaya mbaya wa sura lakini mwenye mvuto kwako unayemzidi umri zaid ya miaka 10, weka ndani fuga.

Huyo hakuzeekei, ataendelea kuwa msichana kwako siku zote mpaka unadanja.

Sasa huyo mgeuze "car wash" yako ya kila siku kuoshea rungu lako.

Kama huyo demu hatakuwa kidomo kaya, maisha ya ahera na pepo ya firdaus utaanza kuionjea hapa hapa duniani.
 

Acha kumshauri upuuzi
Kataa Uzinzi kijana kwa Bei yoyote Uzinzi ni laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…