Piga copy kurasa za Memorandum ya CRDB ilipoandikishwa mwanzo na watu ndio hadi leo wanaichukulia wrong Kumbe upo jikoni wewe ndie yule mtoa risiti au yule Askari mlinzi wa Tigo pesa au yule MbuluMimi niko Brela we Kenge, ndo maana nakuelewesha ufute ujinga wango.
Hahaha!!...eti ntakudipuNgoja kwanza mtoa mada ntakudipu.
Hahaha!!...eti ntakudipu
Hata na wewe angalia vizuri initials kivipi wakati ni abbreviations za COOPERATIVE & RURAL DEVELOPMENT BANK? (Sio jina)Hapo kwa CRDB umeingia cha kike... Ile ni CRDB bank na wala sio CRD Bank "CRDB" imesimama kama jina na wala sio initials.
Nakuonea aibu sana....Hata na wewe angalia vizuri initials kivipi wakati ni abbreviations za COOPERATIVE & RURAL DEVELOPMENT BANK? (Sio jina)
Walimu wana kazi sana. Kumfundisha mwanafunzi wa aina yako ni bora umfundishe mbuzi kupiga gitaaPiga copy kurasa za Memorandum ya CRDB ilipoandikishwa mwanzo na watu ndio hadi leo wanaichukulia wrong Kumbe upo jikoni wewe ndie yule mtoa risiti au yule Askari mlinzi wa Tigo pesa au yule Mbulu
Kakojoe ulale we lofaUkiwa mpumbavu always utabaki hivyo hivyo Leo tu Kimei kakiri kuwa crdb baada ya kubinfishwa imemaintain jina CRDB na wala Hakusema CRDB Bank. upumbavu wako kaa nao hivyo hivyo maana umegeuza heading unavyotaka wewe mtoa mada kasema maneno yanayokosewa kutamkwa na ukitamka CRDB Bank ni kosa full stop ila haikufanyi ukose huduma pale kaweke pesa zako unazo omba omba mgogo wewe. Brela umeshindwa kwenda
True, nimeelewa baada ya ufafanuzi, ila kuelimisha jamii inataka kipawa wengi humu JF wana elimu maridhwa tatizo jazba .Nakuonea aibu sana....
Hebu fanya homework yako vizuri. Naona bado uko zama za kale. Hakuna cha abbreviations kama zamani. Hivi sasa inaitwa CRDB Bank. CRDB hivi sasa ni jina kama ilivyo Augustino.
Nashukuru kwa kuelewa kiongozi. Sasa nakuomba uungane nami kumwelewesha huyu dogo Mlaleo ambaye bado anashi kwenye zama za kale za mawe.True, nimeelewa baada ya ufafanuzi, ila kuelimisha jamii inataka kipawa wengi humu JF wana elimu maridhwa tatizo jazba .
Yallah mbavu uuuuwiiiNgoja kwanza mtoa mada ntakudipu.
Duuu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]WAKENYA NA WANIGERIA NAO NI WAHARIBIFU WAKUBWA WA MATAMSHI
1. Education .........wao wanatamka ...... Edukeshon
Mkuu humu tupo na wajukuu zetu halafu hawataki kujifunza wanakuwa wajuaji na kutukosoa Mimi huwa nawaacha tuUmezaliwa lini? Sorry to ask.
CRDB Bank PlcKakojoe ulale we lofa
Ile ni CRDB Bank
Sio Cooperative and Rural Devevelopment Bank kama zamani ...CRDB plc.
Mama yako kweli kazaa hasara.
Gadem...
NMB Bank Plc kuanzia july mwaka huu... Zamani ilikuwa National Microfinance Bank PlcNashukuru kwa kuelewa kiongozi. Sasa nakuomba uungane nami kumwelewesha huyu dogo Mlaleo ambaye bado anashi kwenye zama za kale za mawe.
Kwa akili yake anadhani mpaka leo NMB ni National Microfinance Bank na wala sio NMB Bank
CRDB Bank-ndio sahihi, tofautisha na ile iliyokuwa kifupi cha Benki ya mtaji kwa wakulima vijijiniCRDB Bank => CRD Bank
NMB Bank => NM Bank