Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

We wa zamani sana au hupendi kwenda na wakati? Hiyo ilishapitwa na wakati... kama hupendi kujifunza hebu jaribu kutumia hata "Google"

Wewe wa jana andika basi tuelewe acha mbwembe. Hata Google ndicho walichoandika au unadhani ni peke yako unayejua kutumia Google?
 
Kwa wale Wanaotumia magari

Saidimira badala ya Sight Mirror....

Rejeta badala ya Radiator...

Eksosi badala ya Exhaust

Spare tyre badala ya Reserve tyre...

Speed Meter badala ya Speed Gauge...

Dabokibini badala ya Double Cabin...
Hapo sidhani kama ni kosa, kwa kuwa maneno hayo ni kama yametoholewa kwenye lugha ya kiingereza, kwa kuwa wataalamu wanasema, lugha ya kiswahili'haijitosherezi' niko tayari kusahihishwa.
 
Timu ikizidiwa ikawa inalinda utasikia mashabiki wanasema wanaDEFENCE badala ya kusema wanaDEFEND. Mara nyingi watu huandika neno STATIONARY badala ya STATIONERY.
Ni stationers sio stationery
 
Hapo kwa CRDB umeingia cha kike... Ile ni CRDB bank na wala sio CRD Bank "CRDB" imesimama kama jina na wala sio initials.
Unachobishia unakielewa kweli au ndio asili ya ubishi kwenu?

Kirefu cha hizo herufi kiandike kisha yasome kwa Sauti kuu

Kwa kurahisisha ni (Co-operative Rural Development Bank) = CRDB so huwezi tena kuweka Neno Bank zaidi maana ukitamka hivyo na ukaja kuweka tena kifupi chake inakuwa CRDBB Ambapo ni Wrong!

Na NMB ni National Microfince Bank so ukiongeza neno Bank it means kifupi chake kiwe NMBB. Am sure wewe ni Mjinga na sio Mpumbavu maana Mjinga akishapata ufahamu huelewa na kuwa Mpole kama Mnyonge. Sawa Babu tunaeleweshana tu humu.
 
Ni vizuri ukatoa elimu namna ilivyobadilika maana sisi bado tunajua NMB ni kifupi cha maneno National Microfinance Bank,sasa ukisema NMB Bank inamaana neno Bank linarudiwa mara mbili.
Mlaleo Asprin mara baada ya kubinafsishwa hizi bank hizo Initials ndo zinatumika kama utambulisho na sio kirefu so usiogope kusema NMB BANK au CRDB BANK sababu ndivo inavyotambulika kwa sasa na kutokana na historia za uanzishwaji wake bado watu wamekariri virefu vyake ingawa oficially haitumiki.
CHUKULIA MFANO HUU
IMG_20171201_231622_129.jpg
 
Mbona wengi wanatuambia ni side mirror siyo sight mirror but can stand to all by the way
 
Back
Top Bottom