Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Kwa wale Wanaotumia magari

Saidimira badala ya Sight Mirror....

Rejeta badala ya Radiator...

Eksosi badala ya Exhaust

Spare tyre badala ya Reserve tyre...

Speed Meter badala ya Speed Gauge...

Dabokibini badala ya Double Cabin...
Kama hujielewi vile nadhani. Maana kuna English UK na English USA so wewe unaona kama ni makosa vile but sio Makosa kama uandikaji wako huo jirekebishe Kutamka Saidi sidhani watu hutamka Side(Said)Mirror(Mira) sio Makosa kivile yeyote anayeongea English huwezi kumfanya ashindwe kuelewa. Sight Mirror ni Kioo cha Kuonyesha upeo furani ambapo katika Gari ni kile cha Kati kati so inaonesha kiasi huelewi na humu jf utajifunza kutokana na makosa yako.

Spare Tyre na Reserve Tyre ni sawa hakuna kosa hapo
Speed Meter hamna kosa
Eksosi ambayo ni Exhaust utamkaji wako ndio sio lakini ndio tatizo ila mwishoni lazima umalizie na st hivyo unaweza andika Eksost.
Rejeta utamkaji tu ila ukitamka Radieta ni sawa
 
Yes nadhani upo bank umetusaidia maana nilijua ina kirefu chake nikababatisha kwa kukusahau...well done mtu wa Mungu
 
Itajirudia tu maana ni bank kwa bank unaweza kusema tu NM kama bank ilishajitaja....National Microfinance inatosha kwa ilishatajwa
 
Unachobishia unakielewa kweli au ndio asili ya ubishi kwenu?

Kirefu cha hizo herufi kiandike kisha yasome kwa Sauti kuu

Kwa kurahisisha ni (Co-operative Rural Development Bank) = CRDB so huwezi tena kuweka Neno Bank zaidi maana ukitamka hivyo na ukaja kuweka tena kifupi chake inakuwa CRDBB Ambapo ni Wrong!

Na NMB ni National Microfince Bank so ukiongeza neno Bank it means kifupi chake kiwe NMBB. Am sure wewe ni Mjinga na sio Mpumbavu maana Mjinga akishapata ufahamu huelewa na kuwa Mpole kama Mnyonge. Sawa Babu tunaeleweshana tu humu.
IMG_20171201_234227_226.jpg
 
Mtu anaposhika mpira kwenye mchezo wa mpira wa miguu watu husema henzi akimaanisha hands/hand
 
Salute Comrade's.

Ni mada nzuri sana. Kuna kadhaa ya kujifunza.

Unazungumza na mtu kwenye simu anakuambia Nipo barabara ya Kilwa road. Ni makosa kiufundi.

Nipo barabara ya Kilwa road- Nipo Kilwa road.
 
Back
Top Bottom