Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

kopites

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2015
Posts
9,229
Reaction score
11,531
IMG_20220924_202405.jpg

Kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona (planndemic disease) hii inawahusu,mkaleta ujuaji mkajidai mmesoma mnajua sana kuliko Rais wa nchi mwenye taarifa lukuki 🥺
⚫Poleni sana

Magonjwa ya ajabu ajabu yanapiga watu huko, infertility, heart attacks,blood pressure.

"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine

Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky, damage ni kubwa

RIP JPM,RIP Mwamba
IMG_20220925_122000.jpg
IMG_20220926_075514.jpg
IMG_20220926_142850.jpg
Heart attacks zinamaliza watu huko,watu wanapata mashambulizi ya moyo wanakufa,matokeo ya chanjo,hii kitu ya heart attacks inapiga watu kimya kimya.
IMG_20230114_073449.jpg
IMG_20230114_080040.jpg
Magufuli alikua sahihi ni vile tu watanzania wengi hawakumwelewa na ujuaji mwingi,kuna wajinga hawataelewa mpk damu itoke masikioni
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Wewe BAWACHA unafahamu katibu mkuu wako Catherine Ruge anafadhili mtandao wa majambazi ? BAWACHA na CHADEMA itolee ufafanuzi ,kama pesa za ruzuku hawachukui na tunajua wanategemea ruzuku kujiendesha, je pesa zinatoka wapi?

Isije ikawa panyaroad ni mradi wa....ili kupata pesa.
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Mambo mengine uwe unauliza kwanza.
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Kama alikataa uwepo wake ilikuwaje akawaambia mjifukize?
 
View attachment 2366896View attachment 2366893
Kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona (planndemic disease) hii inawahusu,mkajidai mmesoma mnajua sana kuliko Rais🥺

Magonjwa ya ajabu ajabu yanapiga watu huko, infertility, heart attack.

"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine

Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky

RIP JPM,RIP Mwamba
Kama ni mwamba mbona na yeye kafa na hiyohiyo corona sijui karina,? Rubbish
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
hakuna Siri kwamba alikufa kwa Covid19
 
Itafika siku jina la Magufuli litakuwepo kwenye somo la historia na hapo ndio tutajua yule ni nabii
😂😂 wakristo huwa mnanichekesha, yaani nyie kwenu kila mtu akifanya upuuzi wa aina yoyote hamkawii kumuamini na kumuita Nabii, hipo siku hata Mandonga mtamuita nabii, Aisee mtaibiwa sanaa, Bora kutokuwa na dini tu
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Mbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
 
Back
Top Bottom