kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona (planndemic disease) hii inawahusu,mkaleta ujuaji mkajidai mmesoma mnajua sana kuliko Rais wa nchi mwenye taarifa lukuki 🥺
⚫Poleni sana
Magonjwa ya ajabu ajabu yanapiga watu huko, infertility, heart attacks,blood pressure.
"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine
Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky, damage ni kubwa
RIP JPM,RIP Mwamba