Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Itafika siku jina la Magufuli litakuwepo kwenye somo la historia na hapo ndio tutajua yule ni nabii
Hata sasa watu wataendela kumpiga vita, lakini hakutakuja kuwapo kwa rais wa maisha ya wengi kama yule.
Na ni suala la muda tu, kila mtu kwa wakti wake atajionea tofauti.

Bila shaka sasa hivi maisha ni rais sana, burudaan kabisa sio? 😂
Nchi iko chini ya wapigaji, pesa ziko kwa watu zaidi kuliko serikalini...ndio haya ya tozo tozo na bado.
 
😂😂 wakristo huwa mnanichekesha, yaani nyie kwenu kila mtu akifanya upuuzi wa aina yoyote hamkawii kumuamini na kumuita Nabii, hipo siku hata Mandonga mtamuita nabii, Aisee mtaibiwa sanaa, Bora kutokuwa na dini tu
Kwanini umewasemea wakristo? Au kwa elimu yako unadhani Nabii ni lazima awe mkristo?
 
"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine

Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky

RIP JPM,RIP Mwamba
Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!

Tatizo lenu mnadhani kila kinachokuwa posted online basi ni taarifa sahihi bila kujishughulisha kujua credibility ya source mnazotumia!!

Matokeo yake, source uliyoweka, ya mtu anayejiita Spartacus, anataka kuwaaminisha watu aina yako kwamba Trump alikuwa anazungumzia mRNA ya Bill Gate, chanjo ya COVID-19!

Lau kama ungetumia hata dakika 2 kutafuta original source ambayo ni MNBC, ungekuta screenshot aliyoambatanisha Spartacus, original clip ni hapa chini:-



Hapo utaona the original video ilikuwa uploaded YouTube on May 18, 2018 hata kabla ya hayo mambo ya COVID-19! Na ukisikiliza, utaona Bill Gate aliongea ama December 2016 or early 2017.

Basically, Bill Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wa Bill & Melinda Gates Foundation, na mmoja wao alitaka kujua alimfahamu vipi Donald Trump kwa sababu, by the time, Trump ilikuwa ndo kwanza kachaguliwa kuwa rais!!

Gate alipokutana na Trump kwa mara ya kwanza mara ya kwanza ndani ya Trump Tower na mara ya pili alimtembelea White House. Mara zote hizo Trump alitaka kufahamu ikiwa chanjo ina madhara, na chanjo waliyokuwa wanaizungumzia hapo ni HIV Vaccines, na kwa maneno yake, Gate anasema---
...So, I saw him in Trump Tower, and I said, "hey, science and innovation is a great thing, and you should be a leader who drives it. And innovation in that conversation was about a broad set of things... in energy, and health, and education... you know, big things you wanna do it to big, HIV Vaccines you could; you know(innovation) can accelerate that... be associated with innovation. And the second time I saw him was the March after that... March 2017 in the White House. In both in those two meetings he asked me if vaccines weren't a bad thing because he was considering a commission to look into ill effect of vaccacines, and somebody, his name was Robert Kennedy, Jr. was advising him that vaccines were casing bad things, and I said no, that's a dead end... that'd be bad thing, don't do that. Both times he wanted to know if there's a difference between HIV and HPV, so, I was able to explain those are rarely confused to each other

Btw, hivi ulijaribu kutafuta na taarifa za Dr. Peter McCullough ambae clip yake imepachikwa baada ya maelezo ya Gate?!
 
Wewe BAWACHA unafahamu katibu mkuu wako Catherine Ruge anafadhili mtandao wa majambazi ? BAWACHA na CHADEMA itolee ufafanuzi ,kama pesa za ruzuku hawachukui na tunajua wanategemea ruzuku kujiendesha, je pesa zinatoka wapi?

Isije ikawa panyaroad ni mradi wa....ili kupata pesa.
Kwanini unaniita BAWACHA? Huo ndiyo mwisho wa akili yako? Come with objective argument or shut up kama huna point
 
Mambo mengine uwe unauliza kwanza.
Mimi ni health professional kwenye virology na immunology, nimuulize nani tena?? Mimi ndiyo wa kuulizwa na kutoa majibu.

Mliacha mkemia Magufuli atoe suluhisho kwenye pandemic na elimu yake ya chemistry!! Foolish nation
 
Kwanini umewasemea wakristo? Au kwa elimu yako unadhani Nabii ni lazima awe mkristo?
ebu niambie mkuu, kwa miaka hii ya karibuni ushawai kusikia nabii wa kiislamu au nabii wa mabohora?
 
Kama alikataa uwepo wake ilikuwaje akawaambia mjifukize?
Wewe na akili yako unakubali kukaa jikoni na kufyonza moshi ? Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa (Hosea 4:6)
 
Tuliochanja tunaogopa kufa
Wasio chanja wanaogopa kufa

Nimechanja nipo hai (nashukulu Mungu)
Asiyechanja Magu kafa
YOTE NI MIPANGO YA MUNGU TU

Halafu iyo habari imetolewa na kijalida tu uko kma vle hapa bongo habari za shigongo
 
Mbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
Mzungu gani huyo au wa simba au mzungu kichaa
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!

Tatizo lenu mnadhani kila kinachokuwa posted online basi ni taarifa sahihi bila kujishughulisha kujua credibility ya source mnazotumia!!

Matokeo yake, source uliyoweka, ya mtu anayejiita Spartacus, anataka kuwaaminisha watu aina yako kwamba Trump alikuwa anazungumzia mRNA ya Bill Gate, chanjo ya COVID-19!

Lau kama ungetumia hata dakika 2 kutafuta original source ambayo ni MNBC, ungekuta screenshot aliyoambatanisha Spartacus, original clip ni hapa chini:-



Hapo utaona the original video ilikuwa uploaded YouTube on May 18, 2018 hata kabla ya hayo mambo ya COVID-19! Na ukisikiliza, utaona Bill Gate aliongea ama December 2016 or early 2017.

Basically, Bill Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wa Bill & Melinda Gates Foundation, na mmoja wao alitaka kujua alimfahamu vipi Donald Trump kwa sababu, by the time, Trump ilikuwa ndo kwanza kachaguliwa kuwa rais!!

Gate alipokutana na Trump kwa mara ya kwanza mara ya kwanza ndani ya Trump Tower na mara ya pili alimtembelea White House. Mara zote hizo Trump alitaka kufahamu ikiwa chanjo ina madhara, na chanjo waliyokuwa wanaizungumzia hapo ni HIV Vaccines, na kwa maneno yake, Gate anasema---


Btw, hivi ulijaribu kutafuta na taarifa za Dr. Peter McCullough ambae clip yake imepachikwa baada ya maelezo ya Gate?!

Ukiona moshi,kuna moto!...
Lisemwalo lipo
 
Mzilankende Umekumbukwa Na Watanzania Wa JF
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Acha kuita wenzako pimbi .
Anza wewe kuitwa pimbi .
Unakasirika kisa hujui kingereza na umepata chanjo ya corona unalo utajiju acha kukariri maisha zuzu wewe mxiu
 
Wewe unasumbuliwa na usukuma gang, huna lolote unalolijua
Mojawapo ya madhara inafanya unakua na hasira,kichefuchefu,kutukana na kupaniki,pia kuchukia mpk watu waliokufa🤣
Utanyooka
 
Mbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
Kwa hiyo mradi wazungu wamesema basi wewe ni WA kuamni wanachosema? Sasa hivi wazungu wanataka wanaume waingiliane kimwili na kufunga ndoa, kwa hiyo hata wewe jaap kama ni mwanaume uko tayari kufanya hivyo sababu wazungu wamesema?
 
Acha kuita wenzako pimbi .
Anza wewe kuitwa pimbi .
Unakasirika kisa hujui kingereza na umepata chanjo ya corona unalo utajiju acha kukariri maisha zuzu wewe mxiu
Yule ni pimbi tu na atabaki kuwa pimbi. Mshamba wa Kolomije kuja kutupangia namna ya kuishi sisi watoto wa mjini ni PIMBI tu
 
Back
Top Bottom