Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Ukiona moshi,kuna moto!...
Lisemwalo lipo
Chifu,

Hivi hizi consipiracy za mara chanjo ile inaleta ugumba, mara chanjo ile inaumiza nguvu za kiume... consipiracies za namna hii zimeanza lini?!

Na mara nyingi Consipiracy Theorists wamekuwa wakisema target ni Africa... now tell me: tangu hizi consipiracy zianze miaka nenda rudi, hivi ni kweli Afrika ndo bara ambalo population yake inapungua?!

Majority of Tanzanians tumedungwa michanjo mara ya ndui, mara ya surua, mara sijui ya nini... je, huko kuzaana Tanzania kumeshuka?!

Ukweli ni kwamba, hivi sasa kwa Tanzania kuna minimal birth rate lakini sio kwa sababu ya chanjo bali watu wenyewe, hususani mijini hawataki mambo ya kuzaa ovyo ovyo!! The same applies to other nations ukitoa nchi kama China zenye sheria za watu kutozaa ovyo ovyo!!!

Na hizi sex toys zilizojaa kila mahali, huku technolojia ikituletea very sexy sex toys, ndo kabisa... no one will have to give you dangerous vaccines eti ili usizae wakati mazingira tu yanaku-encourage usizae!!

Unmarried couple zikipigana mimba kitakachofuata ni mvutano wa "toa mimba, sitaki... usitoe; natoa"!!Sasa hapo birth rate ikishuka ndo msingizie chanjo wakati ni watu wenyewe hawataki kuzaa?!
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Umejibu usichoulizwa soma mara mbili mbili kabla ya kujibu mtihani.
 
Chifu,

Hivi hizi consipiracy za mara chanjo ile inaleta ugumba, mara chanjo ile inaumiza nguvu za kiume... consipiracies za namna hii zimeanza lini?!

Na mara nyingi Consipiracy Theorists wamekuwa wakisema target ni Africa... now tell me: tangu hizi consipiracy zianze miaka nenda rudi, hivi ni kweli Afrika ndo bara ambalo population yake inapungua?!

Majority of Tanzanians tumedungwa michanjo mara ya ndui, mara ya surua, mara sijui ya nini... je, huko kuzaana Tanzania kumeshuka?!

Ukweli ni kwamba, hivi sasa kwa Tanzania kuna minimal birth rate lakini sio kwa sababu ya chanjo bali watu wenyewe, hususani mijini hawataki mambo ya kuzaa ovyo ovyo!! The same applies to other nations ukitoa nchi kama China zenye sheria za watu kutozaa ovyo ovyo!!!

Na hizi sex toys zilizojaa kila mahali, huku technolojia ikituletea very sexy sex toys, ndo kabisa... no one will have to give you dangerous vaccines eti ili usizae wakati mazingira tu yanaku-encourage usizae!!

Unmarried couple zikipigana mimba kitakachofuata ni mvutano wa "toa mimba, sitaki... usitoe; natoa"!!Sasa hapo birth rate ikishuka ndo msingizie chanjo wakati ni watu wenyewe hawataki kuzaa?!
Pole sana
 
Sasa mkapa asemwe kwa uovu upi? Jamaa alikuwa mwizi, muongo na muuaji, vichwa maji wakamwamini. Inabidi historia yake iandikwe ili Taifa kama Taifa tusije rudia kosa
Kumbe wwe bado mdogo! Waulize Wapemba ndiyo wanamjua Mkapa vizuri! Magufuli yake mbona ni madogo sana anayotuhumiwa nayo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Me kitendo cha kufuta au kufungiwa account kwa wale wanaopost yaliyowatokea kuhusu chanjo ndio niliona za kijau jamaa yupo live kesho ukichek account huipat tena,,walikua wanaficha nini sasa,,,tunajua kila meds inaside effects zake kwanini kwenye covid wawabanie watu
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.

kajifunze tena kilichomuua magufuli wewe malaya shoga jembamba.

unakazwa na baba yako mzazi.
 
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
1664170411570.jpg
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
hhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umeua mzee baba
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Hakukataa uwepo wa Covid, alijua hipo ila alikataa chanjo kabla hajalidhishwa nazo! Kuthibitisha kama alikuwa anatakbua uwepo wa Covid 19 ni pale alipowaambia mjifukize, mfanye mazoezi na mtumie dawa kama Covidol ambazo zinatengenezwa hapa nchini pamoja na kunywa tangawizi
 
Hakukataa uwepo wa Covid, alijua hipo ila alikataa chanjo kabla hajalidhishwa nazo! Kuthibitisha kama alikuwa anatakbua uwepo wa Covid 19 ni pale alipowaambia mjifukize, mfanye mazoezi na mtumie dawa kama Covidol ambazo zinatengenezwa hapa nchini pamoja na kunywa tangawizi
Hao nyumbu huwa hawaelewi
 
Hakukataa uwepo wa Covid, alijua hipo ila alikataa chanjo kabla hajalidhishwa nazo! Kuthibitisha kama alikuwa anatakbua uwepo wa Covid 19 ni pale alipowaambia mjifukize, mfanye mazoezi na mtumie dawa kama Covidol ambazo zinatengenezwa hapa nchini pamoja na kunywa tangawizi
Unakataa chanjo toka kwa reknowned world class manufacturer la Johnson & Johnson au Pfizer, halafu unakunywa togwa la MADAGASCAR kwa kusimuliwa tu kuwa linaponya. Hapo unategemea COVID 19 ikukopeshe? NOWAY

Akina Mpinzire acheni kutetea huyo Shetani, ameacha Watanzania wengi wafe kwa COVID 19 kwa UJINGA na kiburi chake tu
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
mbona mkisikia jina magufuli mnajambajamba why lakini
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Kati ya yule na wewe nani pimbi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom