macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hoja ni kwamba wataalam wote wa dunia hii kuanzia wachina, wajapani, wahindi, waarabu, wazungu nk na utaalam wao wote, na sayansi yao yote, ni wajinga kulinganisha na Magufuli na wafuasi wake. Haya kafanye sherehe.Haya, jibu hoja iliyoletwa mezani sasa.