Mkuu unatania au kweli uko serious? Nani anataka kuongozwa na mtu katili kama yule?Hayo ni mawazo yako binafsi.
Wapo wanaohitaji mtu kama huyo.
Aina ile ya uongozi ndio sahihi na wananchi wanaikubali mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unatania au kweli uko serious? Nani anataka kuongozwa na mtu katili kama yule?Hayo ni mawazo yako binafsi.
Wapo wanaohitaji mtu kama huyo.
Aina ile ya uongozi ndio sahihi na wananchi wanaikubali mno.
😂😂😂😂😂😂😂Hakuna, Ulaya hakuna vyeti feki kama ulivyo kuwa navyo wewe kule ulaya kusoma hakuna short kati ndiyo Maana hukuti wanatumbuliwa kwa vyeti feki kama wewe ulivyo tumbuliwa, Na uta msaau Magufuli maisha yako yote wewe na Familia yako kwa kitendo cha kutumbuliwa kwa vyeti feki.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂Tofautisha kati ya ‘ujanja’ na ‘maono’. JPM alikuwa na maono. Ampumzike kwa amani.
Acha matusi wewe,unawezaje kuutanua ubongo?.Watanzania bwana
Kila kinachoandikwa kiingereza mnachukulia Kama source ya kuaminika
Hyo article n Kama kijarida Cha gazet la uhuru tu wataandika kile chenye maslahi kwao
Tanua ubongo ndugu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naongelea uongozi mbaya kama wa yule katiliUnajadili chanjo au uongozi?
Itafika siku jina la Magufuli litakuwepo kwenye somo la historia na hapo ndio tutajua yule ni nabii
Watanzania bwana
Kila kinachoandikwa kiingereza mnachukulia Kama source ya kuaminika
Hyo article n Kama kijarida Cha gazet la uhuru tu wataandika kile chenye maslahi kwao
Tanua ubongo ndugu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!
Tatizo lenu mnadhani kila kinachokuwa posted online basi ni taarifa sahihi bila kujishughulisha kujua credibility ya source mnazotumia!!
Matokeo yake, source uliyoweka, ya mtu anayejiita Spartacus, anataka kuwaaminisha watu aina yako kwamba Trump alikuwa anazungumzia mRNA ya Bill Gate, chanjo ya COVID-19!
Lau kama ungetumia hata dakika 2 kutafuta original source ambayo ni MNBC, ungekuta screenshot aliyoambatanisha Spartacus, original clip ni hapa chini:-
Hapo utaona the original video ilikuwa uploaded YouTube on May 18, 2018 hata kabla ya hayo mambo ya COVID-19! Na ukisikiliza, utaona Bill Gate aliongea ama December 2016 or early 2017.
Basically, Bill Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wa Bill & Melinda Gates Foundation, na mmoja wao alitaka kujua alimfahamu vipi Donald Trump kwa sababu, by the time, Trump ilikuwa ndo kwanza kachaguliwa kuwa rais!!
Gate alipokutana na Trump kwa mara ya kwanza mara ya kwanza ndani ya Trump Tower na mara ya pili alimtembelea White House. Mara zote hizo Trump alitaka kufahamu ikiwa chanjo ina madhara, na chanjo waliyokuwa wanaizungumzia hapo ni HIV Vaccines, na kwa maneno yake, Gate anasema---
Btw, hivi ulijaribu kutafuta na taarifa za Dr. Peter McCullough ambae clip yake imepachikwa baada ya maelezo ya Gate?!
Wabongo bhana... yaani mnaokoteza tu tweets from Anonymous Members na hiyo kwenu ndo inakuwa stori?!
Tatizo lenu mnadhani kila kinachokuwa posted online basi ni taarifa sahihi bila kujishughulisha kujua credibility ya source mnazotumia!!
Matokeo yake, source uliyoweka, ya mtu anayejiita Spartacus, anataka kuwaaminisha watu aina yako kwamba Trump alikuwa anazungumzia mRNA ya Bill Gate, chanjo ya COVID-19!
Lau kama ungetumia hata dakika 2 kutafuta original source ambayo ni MNBC, ungekuta screenshot aliyoambatanisha Spartacus, original clip ni hapa chini:-
Hapo utaona the original video ilikuwa uploaded YouTube on May 18, 2018 hata kabla ya hayo mambo ya COVID-19! Na ukisikiliza, utaona Bill Gate aliongea ama December 2016 or early 2017.
Basically, Bill Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wa Bill & Melinda Gates Foundation, na mmoja wao alitaka kujua alimfahamu vipi Donald Trump kwa sababu, by the time, Trump ilikuwa ndo kwanza kachaguliwa kuwa rais!!
Gate alipokutana na Trump kwa mara ya kwanza mara ya kwanza ndani ya Trump Tower na mara ya pili alimtembelea White House. Mara zote hizo Trump alitaka kufahamu ikiwa chanjo ina madhara, na chanjo waliyokuwa wanaizungumzia hapo ni HIV Vaccines, na kwa maneno yake, Gate anasema---
Btw, hivi ulijaribu kutafuta na taarifa za Dr. Peter McCullough ambae clip yake imepachikwa baada ya maelezo ya Gate?!
Umesoma na kuelewa?!Wewe mwenyewe umeokoteza MSNBC,au unadhani kila kinachowekwa msnbc ni hakika,vyombo vya propaganda hivo ndio maana trump hakupatana navyo kbs kwenye uongozi wake.
Akina billgates wanavilipa hivo vyombo haviwezi sema ukweli.billgate sio mtu mzuri kbs kama mnavyoaminishwa na vimisaada vyake kwenu
😇😇😇 HuelewekiUmesoma na kuelewa?!
Mosi, nimesema hiyo haikuwa interview kati ya Gate na MNBC bali Gate alikuwa anaongea na Wafanyakazi wake, ndipo MNBC wakaipata hiyo clip!!
Pili, nimekuambia alichokuwa anaongea Gate hakihusiani na COVID-19 kama mnavyojaribu kuaminishana kwa sababu Gate aliongea hayo back in 2016 or early 2017... Je, habari za COVID-19 zilikuwapo wakati huo?!
Btw, unaweza kuniambia huyo Gate sio mtu mzuri kivipi?!
Sieleweki au HUNA HOJA kwa sababu ulikurupuka!!😇😇😇 Hueleweki
Huelewi unachoandika,Anzisha uzi wako upinge,acha kukurupukia uzi za watu eti MSNBC 🤣,kutaja Msnbc ndio unajiona unajua.Sieleweki au HUNA HOJA kwa sababu ulikurupuka!!
JIBU NILICHOKUULIZA, kama huna jibu, PIGA KIMYA!!Huelewi unachoandika,Anzisha uzi wako upinge,acha kukurupukia uzi za watu eti MSNBC 🤣,kutaja Msnbc ndio unajiona unajua.
Mtapigwa chanzo mpk akili ziwakae Sawa.
Shukuruni Issue ya Ukraine,ungekuta mnaambiwa kuna wave 7,mnatakiwa mpigwe booster nyingine.
Hio corona yenu kwetu ilishafeli nenda kawaambie watafute nyingine
Siku nyingine uwaambie wakizindua kitu wasianzie kwao maana watakufa kama kuku.
Acha uzuzu wako wewe huelewi unachoandika.JIBU NILICHOKUULIZA, kama huna jibu, PIGA KIMYA!!
Usingekuwa zuzu usingeshindwa kujibu maswali rahisi kama hayo!! Je, 2017 kulikuwa na COVID-19?!Acha uzuzu wako wewe huelewi unachoandika.
Anzisha uzi wako uwatetee wazungu wako,unadhani kila kitu cha ngozi nyeupe ni sahihi.
Kijana unateswa bado na neocolonialism,fungua akili hio.
Afrika ya sasa imejanjaruka mmebaki nyie wachache mnaotukwamisha tusijitegemee.
Stupidy ,akili yako haina akili.Usingekuwa zuzu usingeshindwa kujibu maswali rahisi kama hayo!! Je, 2017 kulikuwa na COVID-19?!
Unaweza kueleza huo ubaya wa Gate?
Jibu hayo maswali na kama huna jibu, then shut the fvck up!!
Juha limeshindwa kujibu!!!Stupidy ,akili yako haina akili.