JIBU NILIYOKUULIZA...Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JIBU NILIYOKUULIZA...Pole sana
Mimi nilichoma chanjo ya corona lakini bado nipo hai
Kwahiyo una mimba?Naah! wengi waliochanja ninawajua wako safi na mimba zimetunga hiyo ni scare mongering hahaha!
Una elimu gani chakubanga wewe? immunology ya matako?Mimi ni health professional kwenye virology na immunology
Nakuona roboti la chanjo uko bize kutema pumba.Chifu,
Hivi hizi consipiracy za mara chanjo ile inaleta ugumba, mara chanjo ile inaumiza nguvu za kiume... consipiracies za namna hii zimeanza lini?!
Na mara nyingi Consipiracy Theorists wamekuwa wakisema target ni Africa... now tell me: tangu hizi consipiracy zianze miaka nenda rudi, hivi ni kweli Afrika ndo bara ambalo population yake inapungua?!
Majority of Tanzanians tumedungwa michanjo mara ya ndui, mara ya surua, mara sijui ya nini... je, huko kuzaana Tanzania kumeshuka?!
Ukweli ni kwamba, hivi sasa kwa Tanzania kuna minimal birth rate lakini sio kwa sababu ya chanjo bali watu wenyewe, hususani mijini hawataki mambo ya kuzaa ovyo ovyo!! The same applies to other nations ukitoa nchi kama China zenye sheria za watu kutozaa ovyo ovyo!!!
Na hizi sex toys zilizojaa kila mahali, huku technolojia ikituletea very sexy sex toys, ndo kabisa... no one will have to give you dangerous vaccines eti ili usizae wakati mazingira tu yanaku-encourage usizae!!
Unmarried couple zikipigana mimba kitakachofuata ni mvutano wa "toa mimba, sitaki... usitoe; natoa"!!Sasa hapo birth rate ikishuka ndo msingizie chanjo wakati ni watu wenyewe hawataki kuzaa?!
Manyumbu akina Huihui2 hayawezi kuelewa hiiMe kitendo cha kufuta au kufungiwa account kwa wale wanaopost yaliyowatokea kuhusu chanjo ndio niliona za kijau jamaa yupo live kesho ukichek account huipat tena,,walikua wanaficha nini sasa,,,tunajua kila meds inaside effects zake kwanini kwenye covid wawabanie watu
NONSENSE....Nakuona roboti la chanjo uko boze kutema pumba.
Unakataa chanjo toka kwa reknowned world class manufacturer la Johnson & Johnson au Pfizer
We ni matako tu huna lolote na machanjo yako.NONSENSE....
But why should I be surprised when your ID says it all!!
Wacha tu NIKUPUUZE!!
Acha matusi dadangu, fustration anazokuletea mumeo tafuta kwa kuzipeleka, kima wewe!!We ni matako tu huna lolote na machanjo yako.
Maroboti kama wewe mko wengi sana na hamjitambui mnameza meza machanjo tu na kubugia sumu bila kuuliza.
Hizi sio zama zake. Na uache kujitia mjuzi.
Nataka nikudunge chanjo ya shahawa.Acha matusi dadangu, fustration anazokuletea mumeo tafuta kwa kuzipeleka, kenge wewe
Hebu weka wazi...Nataka nikudunge chanjo ya shahawa.
Unapenda sana machanjo we binti.
Nitakujauzito.
Hakuna, Ulaya hakuna vyeti feki kama ulivyo kuwa navyo wewe kule ulaya kusoma hakuna short kati ndiyo Maana hukuti wanatumbuliwa kwa vyeti feki kama wewe ulivyo tumbuliwa, Na uta msaau Magufuli maisha yako yote wewe na Familia yako kwa kitendo cha kutumbuliwa kwa vyeti feki.Mkuu hata raia wa nje kuna wenye akili kama zako
Kazi yako Fighter101 ni kunusa ushuzi siyo!!mbona mkisikia jina magufuli mnajambajamba why lakini
Aliyekufa ndiye pimbi kwa kuwa pimbi wanakufa hovyoKati ya yule na wewe nani pimbi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kama hukusoma walaumu wazazi wako wala usitupigie kelele hapa JF. Na nyinyi wajinga msio na elimu ndiyo Magufuli alikuwa anawaita WANYONGE, nanyi mnakubali kuitwa WANYONGE.Una elimu gani chakubanga wewe? immunology ya matako?
Hayo mavitini ya biology nayo ni elimu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Elimu wanayo hao wanaokulisha machanjo yenye sumu huku unakenua tu.
Weka huo utafiti hapa, acha kuokota taarifa moja ya mtu mwenye matatizo ndiyo uka generalize.Matako wewe, hizo chanjo alitengeneza baba ako?
Hizo Pfizer zimeripotiwa kuuwa watu kwa paralysis na uharibufu wa mifumo ya neva!
Waambie baba zako waliokutuma HATUDANGANYIKI.
naona mnavyo tapatapa na bitozo hababebeki yaani mnashindana na mfu, au nanyi mmekufa piaKazi yako Fighter101 ni kunusa ushuzi siyo!!
Kwani ulisikia usipochoma utakufa? Wako wengi hawakuchoma. Pia wako wengi ambao wako hai kwa sababu walichoma. Unafikiria maisha yamerudi kama zamani Ulaya America na Asia kwa sababu gani? Ni chanjo inasaidia. Kuna wapumbavu wanaona wajapani, wachina, wahindi, wakorea, waingereza, wajerumani, waarabu, wamarekani n.k na utaalam wao wote ni wajinga ila Magufuli ndiyo mwenye akili. Kiwango cha juu cha upumbavu hiki.Mimi sijachoma chanjo ya corona lakini bado niko hai.