Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

Itafika siku jina la Magufuli litakuwepo kwenye somo la historia na hapo ndio tutajua yule ni nabii
Yaani Raia wakizungu wanamjua na wanamkubali sana sijui kwasababu gani, yani kipindi yupo hai Akiwa anatoa hotuba wazungu wanamsikiliza, niliwai kuwasikia wazungu wafurahia Magufuli kukataa lockdown na chanjo wazungu wengi waliokuwepo nchi hawaja chanja chanjo hawazitaki na hawaziamini, kuna Mwarabu kutoka Irani alikuwa anasema Magufuli sawa Samia Matatizo na huyo anayesema hayo ni Raia wa nje.
 
View attachment 2366896View attachment 2366893
Kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona (planndemic disease) hii inawahusu,mkajidai mmesoma mnajua sana kuliko Rais🥺

Magonjwa ya ajabu ajabu yanapiga watu huko, infertility, heart attack.

"Msidhani kua mnapendwa sana -In Magufuli voice"
Nakumbuka Hii kauli ya Magufuli aliisema akiwa chato kuonya kuhusu corona virus vaccine

Leo hii wazungu wanakiri wenyewe ni very risky

RIP JPM,RIP Mwamba
Wewe unasumbuliwa na usukuma gang, huna lolote unalolijua
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Jamaa alikuwa anaamini ushirikina badala ya science mpaka Corona ikapita naye
 
Wewe BAWACHA unafahamu katibu mkuu wako Catherine Ruge anafadhili mtandao wa majambazi ? BAWACHA na CHADEMA itolee ufafanuzi ,kama pesa za ruzuku hawachukui na tunajua wanategemea ruzuku kujiendesha, je pesa zinatoka wapi?

Isije ikawa panyaroad ni mradi wa....ili kupata pesa.
Kumbe tatizo ni usukuma gang wako
 
😂😂 wakristo huwa mnanichekesha, yaani nyie kwenu kila mtu akifanya upuuzi wa aina yoyote hamkawii kumuamini na kumuita Nabii, hipo siku hata Mandonga mtamuita nabii, Aisee mtaibiwa sanaa, Bora kutokuwa na dini tu
Siyo Wakristo, sema wajinga au Sukuma gang
 
Mbona wazungu wanasema Raisi wetu kauwawa, kama hujui wazungu na waarabu wanamjua Magufuli kuliko MaRaisi wote waliowahi kuiongoza Tanzania, Yani nimeshangaa wazungu wakaida wanamjua Magufuli chakushangaza wana mkubali sana na wana muheshimu.
So wewe unadhani hakuna Wazungu wenye akili kama zako?
 
Nimechanja na niko barida tu, na mimba zimetunga tu.

Kama ni target yao kupunguza watu, basi hizo wanazodungwa watoto huko mahospitalini unajuaje usalama wake.
 
Yaani Raia wakizungu wanamjua na wanamkubali sana sijui kwasababu gani, yani kipindi yupo hai Akiwa anatoa hotuba wazungu wanamsikiliza, niliwai kuwasikia wazungu wafurahia Magufuli kukataa lockdown na chanjo wazungu wengi waliokuwepo nchi hawaja chanja chanjo hawazitaki na hawaziamini, kuna Mwarabu kutoka Irani alikuwa anasema Magufuli sawa Samia Matatizo na huyo anayesema hayo ni Raia wa nje.
Mkuu hata raia wa nje kuna wenye akili kama zako
 
Huu mzimu wa Magufuli utawatesa sanaaa wenye vijiba.
Maana hata Mkapa hatajwi kila kukicha ni Magufuli tuu.
Hakika tunako elekea alie na akili ndo anaona ukweli na uwongo wa Mzee Jembe la Jembe Maguful.
Sasa mkapa asemwe kwa uovu upi? Jamaa alikuwa mwizi, muongo na muuaji, vichwa maji wakamwamini. Inabidi historia yake iandikwe ili Taifa kama Taifa tusije rudia kosa
 
Nimechanja na niko barida tu na mimba zimetunga tu.

Kama ni target yao kupunguza watu basi hizo wanazodungwa watoto huko mahospitalini unajuaje usalama wake.
We sema umechanja na familia yako. Baadae msije na vilio miaka 20 ijayo kuhusu magonjwa ya ajabu kwa watoto.
 
Yule pimbi alikataa uwepo wa COVID-19 na akasema tujifukize kwa njia za kienyeji. Akakataa kupima wagonjwa na kutoa takwimu.

COVID-19 haikumkopesha, ikamswaga kama ilivyomswaga Mrundi mwenzie Nkurunzinza aliyekaidi.

Dunia lazima iambiwe kuwa Magufuli alikufa kwa COVID 19.
Haya, jibu hoja iliyoletwa mezani sasa.
 
Watanzania bwana

Kila kinachoandikwa kiingereza mnachukulia Kama source ya kuaminika

Hyo article n Kama kijarida Cha gazet la uhuru tu wataandika kile chenye maslahi kwao

Tanua ubongo ndugu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bila kuwepo kwa vita kati ya urusi na ukraine, tungekuwa na wimbi la tano la corona virus mpaka sasa.
Je umeelewa niacho maanisha?
 
Back
Top Bottom