Pitso Mosimane hana timu sasa ila anayetafutwa na viongozi Simba sio kocha bali mzungu asiye na uamuzi kwenye timu ili dili za usajili ziendelee

Pitso Mosimane hana timu sasa ila anayetafutwa na viongozi Simba sio kocha bali mzungu asiye na uamuzi kwenye timu ili dili za usajili ziendelee

Pitso Mosimane ali-sign mkataba na Al Ahly SC mwaka 2020 ambao alikuwa analipwa monthly salary - US$120,000 (US$2.9 million for two years). Bonus ya kushinda ligi kuu ya misri au ligi ya mabingwa (CAFCL) - US$480,000.

Pitso pia alikuwa na kipengele endapo Al Ahly SC wangevunja mkabata wake walipaswa kumlipa mshahara wa miezi 4 yaani - US$720,000. Pitso ana technical staffs wake 4 ambao ni non-negotiable with 10% increments every year.

Je, Simba SC inaweza kumudu gharama ya US$160,000 kwa mwezi kumlipa Pitso pamoja na wasaidizi wake 4? Technical team yake huwa wanalipwaga zaidi ya US$10,000/monthly kila mmoja. Kaizer Chiefs walimshindwa kabla ya kwenda Al Ahli.
Duh

Jamaa anajua kukibrand
 
Pitso Mosimane ali-sign mkataba na Al Ahly SC mwaka 2020 ambao alikuwa analipwa monthly salary - US$120,000 (US$2.9 million for two years). Bonus ya kushinda ligi kuu ya misri au ligi ya mabingwa (CAFCL) - US$480,000.

Pitso pia alikuwa na kipengele endapo Al Ahly SC wangevunja mkabata wake walipaswa kumlipa mshahara wa miezi 4 yaani - US$720,000. Pitso ana technical staffs wake 4 ambao ni non-negotiable with 10% increments every year.

Je, Simba SC inaweza kumudu gharama ya US$160,000 kwa mwezi kumlipa Pitso pamoja na wasaidizi wake 4? Technical team yake huwa wanalipwaga zaidi ya US$10,000/monthly kila mmoja. Kaizer Chiefs walimshindwa kabla ya kwenda Al Ahli.
Wametumia billion 3 kusajili kipa mmoroko. Sasa wanashindwaje kupata bilion 4 kwa benchi zima la ufundi kwa mwaka mzima?
 
Back
Top Bottom