Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Msekwa huwa lazima aje na kauli mbili juu ya tukio moja.Baadae atapigwa bati utasikia nilinukuliwa vibaya sikumaanisha hivyo π π π π
Ya kwanza huwa ni ile anayoitoa kwa akili zake timamu akiongozwa na logics.
Nyingine hufuata baadaye baada joto kupanda ndani ya Chama. Hivyo hulazimika kuongea kama Mwana CCzm