Plain and Clear: Wabunge wa CCM watakaomnanga Magufuli wajiandae kuukosa ubunge 2025

Plain and Clear: Wabunge wa CCM watakaomnanga Magufuli wajiandae kuukosa ubunge 2025

Mtu ataye kulaumu ni yule tu ambaye hajasoma jina lako! Lakini wabunge wengi wa ccm wanajua kufika 2025 ukiwa hai tu ni kwa kudra za maulana, asa Wewe unatishia watu nyau, akati lichama lenu sasa hivi halina mwenyekiti, katibu mkuu wala mwenezi!
Facts huwa zinatisha siku zote
 
Mbona leo hatuoni threads za covid 19 Kama wakati wa marehemu?! Au imeisha na imeondoka nae?!

Taifa la wanasiasa wanafiki na vilaza
 
Magufuli hakuwa anapendwa kama inavyotaka iaminike, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyeweza kumdhuru yoyote aliye kinyume na yeye, na ili uwe salama wakati wa utawala wake, ilikuwa ukae kwa kuhofia, au ujifanye unampenda.

Na hajawahi kuheshimu vipimo vya kuonyesha kukubalika zaidi ya kufanya mauaji, ukatili na unyama wa wazi kwenye chaguzi, ili kutangazwa mshindi kwa shuruti yeye au chama chake.

Kama bado mzimu wake uko huko ccm, basi asiyemsujudia hajachaguliwa, ila kama hofu aliyopandikiza itaondoka, basi ujue yeye ni dhalimu wa Kawaida kabisa.
Amna haja ya kutumia nguvu kama alikuwa anapendwa au ..ni hizi mbwembe zako tutajua tu huko mbeleni muda ni mwalimu mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Majiraniii amkeni leo kwaoooo!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha kuota mchana wewe tupa koti la kijani hilo then kamata bango udai "KATIBA MPYA"
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Majiraniii amkeni leo kwaoooo!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha kuota mchana wewe tupa koti la kijani hilo then kamata bango udai "KATIBA MPYA"
Katiba iliyopo inajotosheleza issue ni matumizi tu
 
Katiba iliyopo inajotosheleza issue ni matumizi tu
Kama ni hivyo basi kaa kimya usituletee uchimvi kutupigia kelele za marhemu hapa

Saivi yuko Jehanamu huko unapambana na hali yake we unalialia tu Duniani

Kaa utulie Kinana na timu yake ya MSOGA STARS wawatengeneze vizuri, tayari kesha waambia CCM inawenyewe

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tafadhali nifikishie salami kwa:

Elitwege
Wakudadavua
 
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
CCM MPYA ifagie Wenyeviti wote wa CCM MKOA na WILAYA ni Vibaraka wa MAGUFULI
 
Kama ni hivyo basi kaa kimya usituletee uchimvi kutupigia kelele za marhemu hapa

Saivi yuko Jehanamu huko unapambana na hali yake we unalialia tu Duniani

Kaa utulie Kinana na timu yake ya MSOGA STARS wawatengeneze vizuri, tayari kesha waambia CCM inawenyewe

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tafadhali nifikishie salami kwa:

Elitwege
Wakudadavua
unadhani ningeungana na wewe kudai katiba mpya?huo ni ujuha kalulu
 
Ni aibu sana kufikiria udikteta na wizi wa kura wa 2020 utakuwepo tena 2025
CCM ilipendwa na wananchi hadi wakawapenda zaidi Dada zake Mbowe.Si haba kwa mapendo.
Msinireteee gunzi.Ziwe beteri tu,ghafla kaamua na gunzi ziingie
 
kwanza tumshukuru rais hangaya kwa kutuamsaha salama< yaani chawa wamezidi hadi wanakera , ikiwa ndio kizazi tulichonacho kwa sasa , hakika mkoloni anatia timu kiulainiiiii, amini usiamini, ukiona rais kwenye taarifa za habari anatajwa kuliko mungu ujue kuna shida tena kubwa, subirini muone,kama kipindi kile cha mtukufu daniel arap moi
 
unadhani ningeungana na wewe kudai katiba mpya?huo ni ujuha kalulu
Soon utaungana tu mwenyewe utake usitake wala hatokulazimisha mtu, bango la KATIBA MPYA utalishika mwenyewe kwa hiyari yako

Umemsikia mwenzio TumainiEl huko tangu juzi unatulilia tu humu ndani sa sijui nataka tumfanyeje sisi

Ni hivi Ndg. Zangu SUKUMA GANG Ujio wa Kinana ni ujumbe tosha kuwa ndani ya CCM hamna chenu tena

Bila ya kubana maneno kawapa live kwamba CCM inawenyewe. Hivi mnataka mfanyiwe nini ili mjue kwamba chenu kimekwisha ?????

Sasa ukiachilia mbali marehem huko aliko na mizigo ya dhambi alizobeba, nyinyi wenzangu na mimi Duniani hampo Jehanamu hamjafika ... shikeni bango la KATIBA MPYA mapema mtakosa kote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mama mkuu alishamaliza kwa kauli ya kulikuwa na YUDA ulikuwa ukimshika sharubu ... utajua hujui!!
Sasa leo unawaaminisha lipi?

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mbunge aliyechaguliwa kwa Haki 2020 wabunge wa ccm wote walibebwa na magufuli hilo hata ccm wenyewe wanajua.
 
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Watakosaje ubunge wakati huwa mnashindishwa kwa kura za wizi? Kura zina maana kwenu kwani?
 
Wabunge asante magufuli wote hakuna atakaerudi bungeni kuanzia 2025
 
Back
Top Bottom