Plain and Clear: Wabunge wa CCM watakaomnanga Magufuli wajiandae kuukosa ubunge 2025

Plain and Clear: Wabunge wa CCM watakaomnanga Magufuli wajiandae kuukosa ubunge 2025

Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huo ndio UKWELI
 
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.

Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.

Kama mnabisha come 2025.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kweli wewe ni jingalao!
 
Back
Top Bottom