Ni ukweli mtupu.
Mpaka sasa, zaidi ya 90% watu wanamkubali na kumwongelea zaidi JPM kuliko huyu.
Kumkahfu JPM huku ukiwa na nia ya kugombea Ubunge/udiwani ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni na kujinyonga mwenyewe.
Watu wamekwenda mbali zaidi. Wamechonga SANAMU ya JPM na kuweka vyumbani mwao angalau tu kutunza kumbukumbu.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Mpaka sasa, zaidi ya 90% watu wanamkubali na kumwongelea zaidi JPM kuliko huyu.
Kumkahfu JPM huku ukiwa na nia ya kugombea Ubunge/udiwani ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni na kujinyonga mwenyewe.
Watu wamekwenda mbali zaidi. Wamechonga SANAMU ya JPM na kuweka vyumbani mwao angalau tu kutunza kumbukumbu.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.