Facts huwa zinatisha siku zoteMtu ataye kulaumu ni yule tu ambaye hajasoma jina lako! Lakini wabunge wengi wa ccm wanajua kufika 2025 ukiwa hai tu ni kwa kudra za maulana, asa Wewe unatishia watu nyau, akati lichama lenu sasa hivi halina mwenyekiti, katibu mkuu wala mwenezi!
Amna haja ya kutumia nguvu kama alikuwa anapendwa au ..ni hizi mbwembe zako tutajua tu huko mbeleni muda ni mwalimu mzuriMagufuli hakuwa anapendwa kama inavyotaka iaminike, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyeweza kumdhuru yoyote aliye kinyume na yeye, na ili uwe salama wakati wa utawala wake, ilikuwa ukae kwa kuhofia, au ujifanye unampenda.
Na hajawahi kuheshimu vipimo vya kuonyesha kukubalika zaidi ya kufanya mauaji, ukatili na unyama wa wazi kwenye chaguzi, ili kutangazwa mshindi kwa shuruti yeye au chama chake.
Kama bado mzimu wake uko huko ccm, basi asiyemsujudia hajachaguliwa, ila kama hofu aliyopandikiza itaondoka, basi ujue yeye ni dhalimu wa Kawaida kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Katiba iliyopo inajotosheleza issue ni matumizi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majiraniii amkeni leo kwaoooo!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kuota mchana wewe tupa koti la kijani hilo then kamata bango udai "KATIBA MPYA"
Kama ni hivyo basi kaa kimya usituletee uchimvi kutupigia kelele za marhemu hapaKatiba iliyopo inajotosheleza issue ni matumizi tu
CCM MPYA ifagie Wenyeviti wote wa CCM MKOA na WILAYA ni Vibaraka wa MAGUFULINi muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
unadhani ningeungana na wewe kudai katiba mpya?huo ni ujuha kaluluKama ni hivyo basi kaa kimya usituletee uchimvi kutupigia kelele za marhemu hapa
Saivi yuko Jehanamu huko unapambana na hali yake we unalialia tu Duniani
Kaa utulie Kinana na timu yake ya MSOGA STARS wawatengeneze vizuri, tayari kesha waambia CCM inawenyewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafadhali nifikishie salami kwa:
Elitwege
Wakudadavua
CCM ilipendwa na wananchi hadi wakawapenda zaidi Dada zake Mbowe.Si haba kwa mapendo.Ni aibu sana kufikiria udikteta na wizi wa kura wa 2020 utakuwepo tena 2025
Soon utaungana tu mwenyewe utake usitake wala hatokulazimisha mtu, bango la KATIBA MPYA utalishika mwenyewe kwa hiyari yakounadhani ningeungana na wewe kudai katiba mpya?huo ni ujuha kalulu
Mama mkuu alishamaliza kwa kauli ya kulikuwa na YUDA ulikuwa ukimshika sharubu ... utajua hujui!!Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Watakosaje ubunge wakati huwa mnashindishwa kwa kura za wizi? Kura zina maana kwenu kwani?Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!