Chama kimerudi kwa wanafiki tena, Tanzania hatutakuja endelea chini ya CCM.....LAZIMA wananchi tujitahidi kukipiga chini come 2025.Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Haswaaaa! Kwa nyie mliowinda ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi!,Joni alitumia mtutu kutawala
Will never happen na wanamnanga vizuri sana.Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Fisadi katika ubora wake 😀😀Magufuli hakuwa anapendwa kama inavyotaka iaminike, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyeweza kumdhuru yoyote aliye kinyume na yeye, na ili uwe salama wakati wa utawala wake, ilikuwa ukae kwa kuhofia, au ujifanye unampenda.
Na hajawahi kuheshimu vipimo vya kuonyesha kukubalika zaidi ya kufanya mauaji, ukatili na unyama wa wazi kwenye chaguzi, ili kutangazwa mshindi kwa shuruti yeye au chama chake.
Kama bado mzimu wake uko huko ccm, basi asiyemsujudia hajachaguliwa, ila kama hofu aliyopandikiza itaondoka, basi ujue yeye ni dhalimu wa Kawaida kabisa.
Alimfunga fisadi gani? Yeye mwenyewe alikuwa fisadi tu. Alinunua ndege bila kutangaza tenda? Alijenga uwanja kwao chato bila kutangaza tenda! Alipora korosho zetu sie wa kusini!mtutu kwa mafisadi
Ni ukweli mtupu.
Mpaka sasa, zaidi ya 90% watu wanamkubali na kumwongelea zaidi JPM kuliko huyu.
Kumkahfu JPM huku ukiwa na nia ya kugombea Ubunge/udiwani ni sawa kabisa na kuvaa kitanzi shingoni na kujinyonga mwenyewe.
Watu wamekwenda mbali zaidi. Wamechonga SANAMU ya JPM na kuweka vyumbani mwao angalau tu kutunza kumbukumbu.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huu ndio ukweli kabisa, utawala ulikuwa wa hovyo sana!Magufuli hakuwa anapendwa kama inavyotaka iaminike, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyeweza kumdhuru yoyote aliye kinyume na yeye, na ili uwe salama wakati wa utawala wake, ilikuwa ukae kwa kuhofia, au ujifanye unampenda.
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hao hao ndio tunaopiga nao kelele huku mitaani.Amna haja ya kutumia nguvu kama alikuwa anapendwa au ..ni hizi mbwembe zako tutajua tu huko mbeleni muda ni mwalimu mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app