Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Story nzuri nimeisoma.....

Still nadhani unakosa kufupisha mkuu,ishu kama hizi ni za vichwa vichache kuweza kumudu kusoma na kuelewa maana naona kuna vitu vimekosekana kwasababu ya kufupisha,weka makala ndefu hata ya kusoma masaa manne mkuu.....

Hatuoni urefu bali tunauona uzuri wa maisha ya mtu na harakati zake....

Hongera pia....
 
Story nzuri nimeisoma.....

Still nadhani unakosa kufupisha mkuu,ishu kama hizi ni za vichwa vichache kuweza kumudu kusoma na kuelewa maana naona kuna vitu vimekosekana kwasababu ya kufupisha,weka makala ndefu hata ya kusoma masaa manne mkuu.....

Hatuoni urefu bali tunauona uzuri wa maisha ya mtu na harakati zake....

Hongera pia....
Kweli anakosea sana,anatunyima madini ambao tuna utayari wa kusoma.

Ambaye hatoweza kusoma makala ndefu atafute namna yake mwenyewe ya kufupisha.
Period
 
El chapo a.ka short sijui ana hali gani sasahivi, mana Mexico wakishakubali akafungwe USA nadhani Januari sasa akakutane na raisi anae waona Mexican kama rapist and criminals
 
Kweli anakosea sana,anatunyima madini ambao tuna utayari wa kusoma.

Ambaye hatoweza kusoma makala ndefu atafute namna yake mwenyewe ya kufupisha.
Period
Yeah....

Kuna mambo huwa yanachagua vichwa vya kuingia siyo kila kichwa tu.Tumezoea kuangalia ma documentary ya masaa hata matano hadi sita huko.Nimezoea kusoma makala ambayo unaweza kuisoma kwa siku hata nne na unatamani usianche kwa namna ilivyo tamu ije kuwa hii ya hapa JF?

Ujue nimesoma hadi ikaisha halafu nilipokuwa nasoma post za watu ndiyo nikaona watu wanasema ndefu ikabidi nikaiangalie upya maana wakati naisoma sikuona kama ni ndefu.Wakati nasoma hizi post za watu ndiyo nikajua ni kwanini inaonekana kama "imepungua" maana kuna mahali unaona kabisa kuna vitu vimerukwa.....

Nadhani mwandishi asiwe anafupisha hata tukisoma watu wanne tu inatosha kwakweli kama anataka tupate kile anachokusudia.....

Kingine ni kwamba,unajua makala hizi huwa zinaandikwa baada ya kazi kubwa sana ya kukusanya habari kutoka vyanzo mbali mbali vya habari kisha unakusanya na kuanza kuchambua ndipo unapata kitu kimoja cha kueleweka,wenzetu wanaandika vitabu ili waweze kuandika kwa ufasaha namna matukio ya kwenye habari au maisha ya mhusika ili wasiache kitu lakini sisi tunaandika hivbi watu wasome bure,ni kazi nzito sana hivyo nadhani mwandishi anakuwa hajitendei haki kabisa kufupisha.....

Hizi mambo zinachukua muda sana na gharama,najua kwasababu huwa nazifanya wakati mwingine maana huwa natafiti baadhi ya mambo na kuyaweka kwenye maandishi....
Nashauri aandike tu bila kufupisha kwakweli.....
 
Story nzuri nimeisoma.....

Still nadhani unakosa kufupisha mkuu,ishu kama hizi ni za vichwa vichache kuweza kumudu kusoma na kuelewa maana naona kuna vitu vimekosekana kwasababu ya kufupisha,weka makala ndefu hata ya kusoma masaa manne mkuu.....

Hatuoni urefu bali tunauona uzuri wa maisha ya mtu na harakati zake....

Hongera pia....
Sawa Mkuu! Nitafanyia kazi ushauri..
 
Kweli anakosea sana,anatunyima madini ambao tuna utayari wa kusoma.

Ambaye hatoweza kusoma makala ndefu atafute namna yake mwenyewe ya kufupisha.
Period
OK! Nitafanyia kazi ushauri..
 
Back
Top Bottom