Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #61
Nashukuru Mkuu..Ahsante sn, hongera sana, pamoja sana, leta nyingine mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mkuu..Ahsante sn, hongera sana, pamoja sana, leta nyingine mkuu
Sawa Mkuu! I will look into that..The Bold fanya makala ya El Chapo pia.
Nashukuru..Safi sana hii nilianza kuangalia video zake wiki iliopita huko youtube na leo kama zali napata kuona umeitumia hapa storia yake huyu jamaa nasoma na kupata picha halisia kabisa na kile nilicho kiona vinashahabiana na kunogesha big up mkuu @thebold
mbona nimeicopy tu fresh kwenye word na nikaisave?Hapo ilipo hiyo makala ina 'machata' kibao nimeyaficha ndani kwa ndani humo humo.. Ujanja huo alinifundisha mkuu Kiranga
Daaaaahh mimi Jana nilikataa kubet na mtoto Nifah sahizi ningekuwa nafaidi laki yangu hahahahahThe bold cjaisoma bado ila najua itakua ni mule mule.
Ngoja kwanza nichukue salio hapa Crdb kuna jamaa nilipinga nae kuhusu Usa election anaenda kunikabidhi M3.
Duu sijui kuanzia leo nianze kubet na ligi mbalimbali!
Got it..Mkuu vitu kama hivi vilipaswa viwemo kwenye mai story mkuu wangu.......
Roger that! Thanks manMkuu the bold kama kawaida yako linapokuja swala la mastori makali makali, keep it up!!
Pamoja mkuubig up mkuu,. nilikuwa naitafuta sana hii story ya Pablo El màgico
Karibu sana Mkuu..The bold ahsante saana kwa hiki kitu
Pamoja mkuuLeo ndo nimepata kumjua kwa uzuri huyu jamaa
Asante sana The bold
Ishu sio kuikopi ishu ni pale ukiichapisha au kuitumia mahali kwengine kwa malengo ya kibiashara! Kuna vitu vimefi.chwa fichwa kuifanya imtofautishe mwandishi halisi The bold kwahiyo inakuwa rahisi tu kukubana kisheria kuhusu hatimiliki.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]mbona nimeicopy tu fresh kwenye word na nikaisave?
Kwani mkuu na huyu carlos the jacker alivuma sana... Issue zake nae zilikuwa ni drigdealer au mtekaji...???Naam wakuu..
ayaIshu sio kuikopi ishu ni pale ukiichapisha au kuitumia mahali kwengine kwa malengo ya kibiashara! Kuna vitu vimefi.chwa fichwa kuifanya imtofautishe mwandishi halisi The bold kwahiyo inakuwa rahisi tu kukubana kisheria kuhusu hatimiliki.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo ni akili nilipewa na the akili kubwaz Kiranga