Nashukuru Mkuu..
Pablo huyu ndiye aliyejulikana sana kama Zungu la unga? Mana kuna majarida zamani yalikuwa yanamzungumzia kupitia adithi za kijasusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mkuu..
Ni Watermark njia unayoisemea ? Mbona watu wanafungua tu ila hongera kwa kazi nzuriIshu sio kuikopi ishu ni pale ukiichapisha au kuitumia mahali kwengine kwa malengo ya kibiashara! Kuna vitu vimefi.chwa fichwa kuifanya imtofautishe mwandishi halisi The bold kwahiyo inakuwa rahisi tu kukubana kisheria kuhusu hatimiliki.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo ni akili nilipewa na the akili kubwaz Kiranga
Hapana Mkuu sio watermarks!Ni Watermark njia unayoisemea ? Mbona watu wanafungua tu ila hongera kwa kazi nzuri
Nashukuru sana Mkuu!Waoo nimeimaliza na kuielewa vizuri kabisa. Kabla sijasoma nilikuwa najua Pablo aliuliwa na wanajeshi wa serikali kumbe alijipiga risasi. Congrats nyingi kwako Bold kwa stori murua mkuu
Nashukuru Mkuu..Heshima kwako the bold[emoji1536]
HahahahahahHapo ilipo hiyo makala ina 'machata' kibao nimeyaficha ndani kwa ndani humo humo.. Ujanja huo alinifundisha mkuu Kiranga
AiseePablo alikuwa na ghala limejaa nozi za dola mia mia.. Panya kwenye ghala hilo walikuwa wanakula kiasi cha dola laki MOJA kwa siku