Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Mkuu hela zake zote zile nani alichukua?
Fedha zake nyingi ambazo zilihifadhiwa kwenye nyumba za maficho zilichukuliwa na wasaidizi wake waliokuwa wanafahamu zilipo na zile ambazo zilifanikiwa kukamatwa zilichikuliwa na serikali..

Hata 'pepo' yake ya Hacienda Nápoles ilipiganiwa vikali mahakamani kati ya serikali na familia yake iliyobaki na hatimae mwaka 2006 mahakama ikaamuru 'pepo' hiyo iwe mali ya serikali ya Colombia..
 
Ukisoma juu ya maisha yake (upande wa ufanyaji biashara), utaona ugumu wa kupambana na biashara ya mihadarati,taasisi na maofisa wa serikali ni part of the business. Kuna mdunguaji wake aliwahi kukamatwa akasema "Biashara hii haina mshindi na haiwezi kuisha maana ni biashara ya fedha nyingi".
Kwa mujibu wa KAKA YAKE ambaye ndiye alikuwa mhasibu wa biashara zake, they spent USD 1000 per week kununua mipira ya kufungia pesa (rubber band). Na kwa kuwa pesa nyingi na haikuwa safe zote kuziweka bank, walificha katika gharama maalumu ambapo kila mwaka 10% ya pesa zilikuwa zimeharibika kwa kuoza kwa unyevu au kuliwa na wadudu au panya
 
Safi sana hii nilianza kuangalia video zake wiki iliopita huko youtube na leo kama zali napata kuona umeitumia hapa storia yake huyu jamaa nasoma na kupata picha halisia kabisa na kile nilicho kiona vinashahabiana na kunogesha big up mkuu @thebold
 
The bold cjaisoma bado ila najua itakua ni mule mule.
Ngoja kwanza nichukue salio hapa Crdb kuna jamaa nilipinga nae kuhusu Usa election anaenda kunikabidhi M3.
Duu sijui kuanzia leo nianze kubet na ligi mbalimbali!
 
Fedha zake nyingi ambazo zilihifadhiwa kwenye nyumba za maficho zilichukuliwa na wasaidizi wake waliokuwa wanafahamu zilipo na zile ambazo zilifanikiwa kukamatwa zilichikuliwa na serikali..

Hata 'pepo' yake ya Hacienda Nápoles ilipiganiwa vikali mahakamani kati ya serikali na familia yake iliyobaki na hatimae mwaka 2006 mahakama ikaamuru 'pepo' hiyo iwe mali ya serikali ya Colombia..
Mkuu vitu kama hivi vilipaswa viwemo kwenye mai story mkuu wangu.......
 
Mkuu the bold kama kawaida yako linapokuja swala la mastori makali makali, keep it up!!
 
Naam The bold umerejea tena na story ya kusisimua kweli kweli.Nimeisoma yote bila kuchoka,wala kuruka hata sentesi moja.Nilipomaliza nikajikuta natafuta habari za ndege ya kivita aina ya A - 37 Dragonfly nikabaki nacheka mwenyewe,baada ya kufahamu ndege yenyewe ilitengezwa miaka 1960s kwaajili ya vita ya Vietinam na USA na ilifanyiwa maboresho mengi sana.Hata sasa baadhi ya nchi bado wanazitumia katika majeshi yao.
 
Back
Top Bottom