Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

uelezee huo upumbavu wa sera za castro....acha bla bla jaribu kujibu hoja kwa hoja je unazijua sera za ujamaa za cuba? je historia ya cuba wataka ifananisha na china? je hali ya kijiografia ya cuba dhidi ya marekani ni sawa na ya china? usiandike tu kwavile unajua kusoma na kuandika tafakari kwa kina kabla ya kuandika maana yaweza dhihirisha ujinga au werevu wako juu ya mambo flani
 
Eti wampe nakala balozi wa cuba kisha wamtafute The Bold, hivi kwanini watanzania tunapenda kupigana mikwara ya kijinga hivi?

mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
 
mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??

Nenda sasa... I dare you.!
 
Big up sana The Bold achana na huyo mcuba Bruce Lee, kama ameguswa aanzishe Uzi wake mwenyewe popote apendapo... Ila ni kawaida kupata challenges kwenye kila jambo, usirudi nyuma mkuu...
 
mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
Mikwara hii ni ile ya old school, nasikia enzi hilo kila mtu usalama wa Taifa, sijui nani vile... Daaah, The Bold twende kazi mkuu
 
Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??

Nenda sasa... I dare you.!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sikuwezagi baba [emoji119] [emoji119]
Huyu ndo The bold wangu mimi [emoji8]
 
Ngoja niivutie kasi Jioni nitaisoma hii nafikiri ndio utakua mwanzo wa maisha ya kujisomea vitabu
 
ACHA MIKWARA YA KITOTO. KAKOJOE ULALE HUKO. USITUWEKEE USIKU SISI.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sikuwezagi baba [emoji119] [emoji119]
Huyu ndo The bold wangu mimi [emoji8]
Huyu jamaa ana akili za ki-hamorapa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa alidhani utamuangukia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

"..mi mwenyewe 'down town' kitambo, level za jenerali labda ye ndo mgambo.."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…