Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Mbona mgombea wa chadema anafahamika tayari hayo majina mengine ni kutimiza column tu hata Ccm wanamuhofia huyo kuliko hao wengine.
 
Ushauri mzuri My sone Drink Water
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
 
NAUNGA MKONO HOJA kama hawato msimamisha Lissu ,,Itakua ndoto kupata walau jimbo moja!.. Mgombea Urais Ana mchango mkubwa katika kupata Wabunge !.... KAMPENI ZA LISSU ZITAHUDHURIWA NA MAFURIKO ZAIDI YA EDDO!... Mkicheza mnakizika chama,, mtabaki kuropoka Twiter,,Facebook na Instagram,,,
Kaka mbona una hasira sana.
 
Chadema haiwezi kushinda uraisi halina ubishi
Kimantiki Msigwa kaonesha 'mwelekeo sahihi' wa tunakopaswa kwenda
Lissu ana influence kubwa kulingana na maisha aliyoyaishi hivyo kwa ushindani wa 2020 anafaa ili CDM ipate kura nyingi wapate Ruzuku ya kutosha na wabunge ikiwa wa majimbo na viti maalumu

Hoja zá Msigwa zibebwe na ziwe ndiyo ilani kwani imewavuta frist class na second class ambão uwezo wa kufikiri ni mzuri na wanaushawishi kwa third class kimantiki na si jongo

Mwaka huu Uwe mwaka wa kuonesha mwelekeo sahihi ili watu waamue kubadilika na si kulazimisha kubadilika kwa udhaifu wa mtu au chama bali mwelekeo utangulie katika kutafakari udhaifu wa CCM
Msigwa hás something but for now Lissu is the best candidate
 
Inaonekana hii nchi ndio haitujui. Unadhani hapo ndio utatutoa kwenye reli?
Tundu lissu anaondolewa kwenye reli kabla mchezo haujaanza ... jezi anapewa veteran...BOOM GAME OVER
 
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Unachoamini ni hicho kuwa mna Rais wa mtandao ya kijamii. Hongereni.

Ili aweze kufahamika nje ya mitandao ya kijamii inabidi mfanye kazi kubwa maana asilimia kubwa (>70%) ya wapiga kura hawana simu janja.

Isitoshe kumuuza kwa wapiga kura ni ngumu kwa sababu hakuna alilofanya la kitaifa hata jimboni kwake wanajuta kumchagua kwa vipindi viwili mfululizo.

Mbali na mapungufu hayo ana matatizo binafsi km dharau, ubinafsi na majivuno, wakati uongozi wa umma ni dhamana.
 
NAUNGA MKONO HOJA kama hawato msimamisha Lissu ,,Itakua ndoto kupata walau jimbo moja!.. Mgombea Urais Ana mchango mkubwa katika kupata Wabunge !.... KAMPENI ZA LISSU ZITAHUDHURIWA NA MAFURIKO ZAIDI YA EDDO!... Mkicheza mnakizika chama,, mtabaki kuropoka Twiter,,Facebook na Instagram,,,
Kaka mbona una hasira sana.
 
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Tumekuelewa na umesomeka
 
Chadema haiwezi kushinda uraisi halina ubishi
Kimantiki Msigwa kaonesha 'mwelekeo sahihi' wa tunakopaswa kwenda
Lissu ana influence kubwa kulingana na maisha aliyoyaishi hivyo kwa ushindani wa 2020 anafaa ili CDM ipate kura nyingi wapate Ruzuku ya kutosha na wabunge ikiwa wa majimbo na viti maalumu

Hoja zá Msigwa zibebwe na ziwe ndiyo ilani kwani imewavuta frist class na second class ambão uwezo wa kufikiri ni mzuri na wanaushawishi kwa third class kimantiki na si jongo

Mwaka huu Uwe mwaka wa kuonesha mwelekeo sahihi ili watu waamue kubadilika na si kulazimisha kubadilika kwa udhaifu wa mtu au chama bali mwelekeo utangulie katika kutafakari udhaifu wa CCM
Msigwa hás something but for now Lissu is the best candidate
Asante kwa kuweza kumerge hoja zako umeeleweka poa kabisa.
 
Back
Top Bottom