Kwa kweli hata mimi kanivunja moyo sana, yaani Lema kama kweli kasema hayo atakuwa amefanya upumbavu wa hali ya juu! Watu tunawaunga mkono kumbe wapumbavu tu!! Kama itathibitika pasipo shaka kwamba kasema hayo na akagoma kutuomba radhi au chama kikashindwa kumchukulia hatua kali, nitamwomba Lissu tuhamie CCM na hiyo ndiyo itakuwa mwisho wa upinzani Tanzania. Shenzy kabisa Lema kama wewe ndiye kweli umesema hayo!Tatizo LA chadema kila MTU Ni kambale, lema ahojiwe kama kweli kasema hayo maneno, isijeonekana Lumumba kafanya yao, kama kasema kakosea sana.Chama Ni kuvumiliana na vikao.
K
Kwanza msaidie lissu kutembea sasa gwaride atakaguaje wakati anatembea kama kaa
Watanzania bana Mungu atusamehe tu bure,Sina haki kwamba shida ni yetu ni wepesi wa kusahau,au ni akili zetu au ni kutojari. Jana Magufuli katangazia dunia kuwa mle Bungeni watakaorudi ni wale wanaovaa kijani,je kauli hii ilitokana na Nini?je Magufuli ndo anapiga kura kuwachagua wabunge wote nchi nzima? Hapana Ila alichokuwa anasema ni kusisitiza kauli yake ya miaka ya nyuma kuwa hawezi akamteua mkurugenzi,akampa gari,na mshahara Kisha atamtanza mpinzania,Sasa Kati mazingira ya namna hiyo Lissu anawezaje kumchallenge Magufuli? Je Kuna mtu amejiandaa kupigania kura za Lissu?Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.
Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.
Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.
Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejeaTupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.
Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.
Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.
Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Final UpdateWanabodi,
Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.
Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.
Paskali
Mkuu KITiMOTo yaani Ccm walikukataa, pamoja na kujipendekeza, huku jf pia tumekupuuzaWanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.
Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"
I wish him all the best.
Paskali
Mbona unpanick jomba sasa si ndo huyo Tundu Lissu mgombea wa upinzani??Hata agombee Lissu Magufuli hana mpinzani
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.
Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.
Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.
Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
The Hard the Training The Ease The War!"The best defensive is an offensive"
Marshal Fucho
Pamoja na kuunga hoja mkono TL hawezi kumshinda JPM
Chadema haiwezi kushinda uraisi halina ubishi
Kimantiki Msigwa kaonesha 'mwelekeo sahihi' wa tunakopaswa kwenda
Lissu ana influence kubwa kulingana na maisha aliyoyaishi hivyo kwa ushindani wa 2020 anafaa ili CDM ipate kura nyingi wapate Ruzuku ya kutosha na wabunge ikiwa wa majimbo na viti maalumu
Hoja zá Msigwa zibebwe na ziwe ndiyo ilani kwani imewavuta frist class na second class ambão uwezo wa kufikiri ni mzuri na wanaushawishi kwa third class kimantiki na si jongo
Mwaka huu Uwe mwaka wa kuonesha mwelekeo sahihi ili watu waamue kubadilika na si kulazimisha kubadilika kwa udhaifu wa mtu au chama bali mwelekeo utangulie katika kutafakari udhaifu wa CCM
Msigwa hás something but for now Lissu is the best candidate
MY SONTupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.
Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.
Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.
Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
tulia bro dawa imekuja usipanic ata kama familia yako inaishi kupitia CCMHata agombee nani hakuna anayeweza kushindana na Magufuli, na lengo LA CCM siyo kuchukuwa Urais lengo lake ni kuchukua majimbo yote ya uchaguzi bass.
Wewe tunakujua ata. uzi wa betting kule upo kutapeli watu kiufupi your no longer necessityM
MY SON
MNAPOKOSEA N SEHEMU.MOJA
NIKUJUZE CCM WAKIPIGA KELELE WATU WAKAJIANDIKISHE NA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI KUHAKIKISHA WATU WANA KADI ZAO AWAKUWA WAJINGWAJINGA
PALE NDIPO MNAPOLIZWA
NIKUJUZE TU WENGI ULIOONA PALE AIRPORT MAPOPOMPO AWAPIGI KURA
WENGI WANA USHABIKI BILA KUJUA KURA ZINAPIGWA LWA WALIO NAKICHINJIO
USIWAZEE LAKINI CHANGAMOTO MNAZOSEMA OCTB MBONA SIMBALI TUWE WAPOLE TUFANYE SIASA ZA STAHA
TUKAMSIMIKE TEBA
DK JPM
NA MB WANGU WA KAWE FURAHA
Wapi hiyo mzee njoo pata moja hapa budget au opposite na Chuo cha keshoLissu Rais wangu.
Halima Mdee Mbunge wangu Kawe. Viva Chadema
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.
Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.
Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.
Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.
Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.
Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Wasijaribu hivi sasa kwani tunaliombea sana Taifa. Mungu aliyeondoa corona bado yupo Tanzania anazunguka zinguka kuondoa waovu kwenye viti vyaoCcm hakitegemei sanduku la kura, bali NEC + polisi
Huku Kyela tunasema ndaga nkamuLissu ana kura za ukoo wangu wote karibia watu 500
Ahsante mkuu tupo pamojaWapi hiyo mzee njoo pata moja hapa budget au opposite na Chuo cha kesho
Nafikiri sauti haitoshi hata wangepiga deki tena. Tuliona gari likisukumwa sembuse kusindikiza. CCM ina wenyewe watu wenye utulivu wa akili hawana mihemko na hivyo wapo kistaratejia siyo mbwembwe za wasio piga kura.Hata agombee Lissu Magufuli hana mpinzani