Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Tatizo LA chadema kila MTU Ni kambale, lema ahojiwe kama kweli kasema hayo maneno, isijeonekana Lumumba kafanya yao, kama kasema kakosea sana.Chama Ni kuvumiliana na vikao.
Kwa kweli hata mimi kanivunja moyo sana, yaani Lema kama kweli kasema hayo atakuwa amefanya upumbavu wa hali ya juu! Watu tunawaunga mkono kumbe wapumbavu tu!! Kama itathibitika pasipo shaka kwamba kasema hayo na akagoma kutuomba radhi au chama kikashindwa kumchukulia hatua kali, nitamwomba Lissu tuhamie CCM na hiyo ndiyo itakuwa mwisho wa upinzani Tanzania. Shenzy kabisa Lema kama wewe ndiye kweli umesema hayo!
 
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Watanzania bana Mungu atusamehe tu bure,Sina haki kwamba shida ni yetu ni wepesi wa kusahau,au ni akili zetu au ni kutojari. Jana Magufuli katangazia dunia kuwa mle Bungeni watakaorudi ni wale wanaovaa kijani,je kauli hii ilitokana na Nini?je Magufuli ndo anapiga kura kuwachagua wabunge wote nchi nzima? Hapana Ila alichokuwa anasema ni kusisitiza kauli yake ya miaka ya nyuma kuwa hawezi akamteua mkurugenzi,akampa gari,na mshahara Kisha atamtanza mpinzania,Sasa Kati mazingira ya namna hiyo Lissu anawezaje kumchallenge Magufuli? Je Kuna mtu amejiandaa kupigania kura za Lissu?
 
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!


Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
Mkuu KITiMOTo yaani Ccm walikukataa, pamoja na kujipendekeza, huku jf pia tumekupuuza
 
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao

Issue kuu sio kiti cha enzi pale IKULU na ile mihimili mingine bali ni SERA za kutoisogeza TZ kwenye oroza ya jamhuri za kiDIZI na kwa hiyo badala yake kujenga taasisi IMARA za ile kitu inaitwa "oversight organs" as mandated na KATIBA ya wana-nchi INAYOPASWA kuheshimiwa na yeyote yule. Asije akatokea MKOLOMIJE akaweza hata kuzania upo ufa pahala pa kupenyeza UKOLOMIJE ule as in the sheer opportunistic opening of a certified congenital idiot to show off political and subsequent power affluence. Really disgusting
 
Hata agombee nani hakuna anayeweza kushindana na Magufuli, na lengo LA CCM siyo kuchukuwa Urais lengo lake ni kuchukua majimbo yote ya uchaguzi bass.
 
Tena mwaka wakifikisha wabunge 10 itakuwa bahati sana.

Ila vijana wa ufipa wako vizuri kwa kujipa matumaini hewa.
Chadema haiwezi kushinda uraisi halina ubishi
Kimantiki Msigwa kaonesha 'mwelekeo sahihi' wa tunakopaswa kwenda
Lissu ana influence kubwa kulingana na maisha aliyoyaishi hivyo kwa ushindani wa 2020 anafaa ili CDM ipate kura nyingi wapate Ruzuku ya kutosha na wabunge ikiwa wa majimbo na viti maalumu

Hoja zá Msigwa zibebwe na ziwe ndiyo ilani kwani imewavuta frist class na second class ambão uwezo wa kufikiri ni mzuri na wanaushawishi kwa third class kimantiki na si jongo

Mwaka huu Uwe mwaka wa kuonesha mwelekeo sahihi ili watu waamue kubadilika na si kulazimisha kubadilika kwa udhaifu wa mtu au chama bali mwelekeo utangulie katika kutafakari udhaifu wa CCM
Msigwa hás something but for now Lissu is the best candidate
 
M
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
MY SON

MNAPOKOSEA N SEHEMU.MOJA
NIKUJUZE CCM WAKIPIGA KELELE WATU WAKAJIANDIKISHE NA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI KUHAKIKISHA WATU WANA KADI ZAO AWAKUWA WAJINGWAJINGA
PALE NDIPO MNAPOLIZWA

NIKUJUZE TU WENGI ULIOONA PALE AIRPORT MAPOPOMPO AWAPIGI KURA
WENGI WANA USHABIKI BILA KUJUA KURA ZINAPIGWA LWA WALIO NAKICHINJIO

USIWAZEE LAKINI CHANGAMOTO MNAZOSEMA OCTB MBONA SIMBALI TUWE WAPOLE TUFANYE SIASA ZA STAHA
TUKAMSIMIKE TEBA

DK JPM
NA MB WANGU WA KAWE FURAHA
 
M

MY SON

MNAPOKOSEA N SEHEMU.MOJA
NIKUJUZE CCM WAKIPIGA KELELE WATU WAKAJIANDIKISHE NA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI KUHAKIKISHA WATU WANA KADI ZAO AWAKUWA WAJINGWAJINGA
PALE NDIPO MNAPOLIZWA

NIKUJUZE TU WENGI ULIOONA PALE AIRPORT MAPOPOMPO AWAPIGI KURA
WENGI WANA USHABIKI BILA KUJUA KURA ZINAPIGWA LWA WALIO NAKICHINJIO

USIWAZEE LAKINI CHANGAMOTO MNAZOSEMA OCTB MBONA SIMBALI TUWE WAPOLE TUFANYE SIASA ZA STAHA
TUKAMSIMIKE TEBA

DK JPM
NA MB WANGU WA KAWE FURAHA
Wewe tunakujua ata. uzi wa betting kule upo kutapeli watu kiufupi your no longer necessity
 
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao

Katiba Katiba Katiba Katiba Katiba
 
Hata agombee Lissu Magufuli hana mpinzani
Nafikiri sauti haitoshi hata wangepiga deki tena. Tuliona gari likisukumwa sembuse kusindikiza. CCM ina wenyewe watu wenye utulivu wa akili hawana mihemko na hivyo wapo kistaratejia siyo mbwembwe za wasio piga kura.

JPM hana mpinzani hata agombee na nani, atashinda mapemaa.
 
Back
Top Bottom