Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
Ukweli dhahiri. Ndo maana pro-CCM "wanaishauri" CHADEMA wapitishe wagombea wengine eti ni wazuri zaidi.
 
Nakukubalia mawazo yako lkn hilo la kugawana mbao tunaomba mungu atuepushie mbali
Tupo nje ya muda, hakuna mgombea anayefaa zaidi ya Lissu, huu si wakati wa drama, Lissu ni Alasa`nte Quatara wa Tanzania, hakuna mwenye uwezo wa kum challenge Magufuli na kumwangusha kwenye uchaguzi huu zaidi ya Lissu.

Kura zote za awali kupitia mitandao ya kijamii zinaonyesha Lissu anakubalika kuliko wagombea wote wanaoomba.

Tunajua umuhimu wa Demokrasia ndani ya chama chetu lakini kwa huu muda na mazingira ya kisiasa ya Tanzania Lissu ni bora kuliko wagombea wote kama ilivyokuwa Mandela kwa ANC, waliamua kumpa back up kubwa sana pamoja na Demokrasia yote waliyonayo ANC.

Huu si muda wa Mbowe, Msigwa wala Nyalandu, huu ni muda wa Tundu Lissu.

Kosa lolote ktk uchaguzi huu unaenda kuigharimu CHADEMA na tutaishia kugawana mbao na kuitoa CCM madarakani itakuwa ndoto nawaambia kweli.

Wakati wa ubaguzi wa rangi South Africa angesimamishwa Thabo Mbeki kugombea asingeshinda na wazungu wangeendelea kuitawala hiyo nchi, lakini kwa Mandela ilikuwa ni muda muafaka kwake, huu mwaka ndo utaamua hatima ya Chadema vinginevyo tutagawana mbao
 
Shida ni kwamba wanaweza kumuwekea lisu zengwe halafu chadema ikapoteza kabisa so nadhani mbowe ni back up in case lissu akahujumiwa ; Japo hujuma yoyote kwa lisu itakuwa na impact kubwa Sana kimahusiano ya Tanzania na mashirika na mataifa ya nje.
Mkuu, wengi siwaoni wakiliwaza hili. Kama, wameweza kudhurumu vingi tu ambavyo vilionekana ni halali, na bado kwa kupitia mahakama, nako kukahalalisha hiyo dhuruma. Sitashangaa akitupwa nje baada ya mapingamizi, tena kutoka hata nje ya CCM.
 
Mkuu mimi sikupingi hata kidogo ila ujue kuwa hao kina Nyalandu na kina Msigwa pia wanalijua hilo cha msingi ni kuiruhusu demokrasia ichukue mkondo angalau kwa kuchukua hata form ili tusiwe kama wenzetu walio andaa form moja tu.
Mleta mada uko sahihi, Hawa akina Nyalandu na Msigwa kwa kutumia kichaka cha demokrasia wanataka kuchelewesha ndoto za Watanzania kumuondoa Jiwe Madarakani.

Sasa hivi tulipaswa tuwe tunaongea namna gani ya kumsaidia Lissu ashinde, siyo kujadili tutampata lini mgombea wa uraisi kupitia Chadema.

Na Chadema wajifunze, wasipompa Lissu tiketi ya kugombea kwa sababu zozote za kimagumashi basi chama kitapata pigo kubwa sana hata kuweza kuwatoa katika reli.

Mtu aliyesimama kuuchallenge utawala wa Magufuli, jasiri asiyeogopa ndiye anayepaswa kupewa tiketi ya kupambana na Magufuli.

Kusimamisha mtu legelege kupambana na Magufuli ni kuuza mechi
 
Nakuunga mkono mkuu naona umeelewa mkakati wa chama
Shida ni kwamba wanaweza kumuwekea lisu zengwe halafu chadema ikapoteza kabisa so nadhani mbowe ni back up in case lissu akahujumiwa ; Japo hujuma yoyote kwa lisu itakuwa na impact kubwa Sana kimahusiano ya Tanzania na mashirika na mataifa ya nje.
 
Kwahiyo nawe unaropoka?
NAUNGA MKONO HOJA kama hawato msimamisha Lissu ,,Itakua ndoto kupata walau jimbo moja!.. Mgombea Urais Ana mchango mkubwa katika kupata Wabunge !.... KAMPENI ZA LISSU ZITAHUDHURIWA NA MAFURIKO ZAIDI YA EDDO!... Mkicheza mnakizika chama,, mtabaki kuropoka Twiter,,Facebook na Instagram,,,
 
Kuwapitisha hata wakiwa 1000 hakuna ubaya maana anayetakiwa kuingia kwenye pitch ni mmoja ambaye ni chaguo la watanzania mh Lissu
Ukweli dhahiri. Ndo maana pro-CCM "wanaishauri" CHADEMA wapitishe wagombea wengine eti ni wazuri zaidi.
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Unajua kipindi hiki kuelekea uchaguzi kila mtu anakuja na wazo lake linaweza likawa ni constructive au la kubomoa pia lkn kwa uongozi ndani ya chama wanajua nini kinafanyika.
Mkuu, wengi siwaoni wakiliwaza hili. Kama, wameweza kudhurumu vingi tu ambavyo vilionekana ni halali, na bado kwa kupitia mahakama, nako kukahalalisha hiyo dhuruma. Sitashangaa akitupwa nje baada ya mapingamizi, tena kutoka hata nje ya CCM.
 
Mnatuzingua tu,miaka yote mnatuambia ccm huwa hashindi kihalali kwa sanduku la kura kwa hivyo ccm hutumia dola kuendelea kukaa madarakani ila wananchi wamemchoka. Sasa haya kuona Lissu pekee ndio anaweza kumchallange Magufuli yanatoka wapi? Ikiwa ccm watu wameichoka na hawana mapenzi na Magufuli.
 
Mleta mada uko sahihi, Hawa akina Nyalandu na Msigwa kwa kutumia kichaka cha demokrasia wanataka kuchelewesha ndoto za Watanzania kumuondoa Jiwe Madarakani.

Sasa hivi tulipaswa tuwe tunaongea namna gani ya kumsaidia Lissu ashinde, siyo kujadili tutampata lini mgombea wa uraisi kupitia Chadema.

Na Chadema wajifunze, wasipompa Lissu tiketi ya kugombea kwa sababu zozote za kimagumashi basi chama kitapata pigo kubwa sana hata kuweza kuwatoa katika reli.

Mtu aliyesimama kuuchallenge utawala wa Magufuli, jasiri asiyeogopa ndiye anayepaswa kupewa tiketi ya kupambana na Magufuli.

Kusimamisha mtu legelege kupambana na Magufuli ni kuuza mechi
Wasipomsimamisha Lissu naihama Chadema nabaki bila chama
 
Back
Top Bottom