PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

Nimeipenda tu ulivyo malizia.

Ila Lissu analishwa matango na watu afu hafanyii hata home work anaruka hivyo hivyo.

Katoa details za ugonjwa wa Magufuli hadi za uongo. Mara ya mwisho Alisema Hayati anapelekwa India. Hii nayo tukampotezea.

Kamuua hadi mlinzi wa hayati Magufuli.

Kifupi Kazi anayofanya Lissu anatakiwa apumzike then aje mwingine. Ameshachoka.
 
Asipuuzwe kwani kazungumza points. Na wewe uliyayasema ni ya kweli na una points muhimu sana
 
Mchambuzi uchwara
 
Wewe tupe uhakika je hakupelekwa India?
 
UKOMAVU WA KISIASA NI PAMOJA NA KUHESHIMU MAONI NA MITAZAMO YA WENGINE HATA KAMA INAKINZANA NA UTASHI WAKO........

NASHANGAZWA NA WANAOJINASIBU KUWA NI WAPIGANIA DEMOKRASIA NA UHURU WA KUTOA MAONI HUKU WAO WAKIWA MSTARI WA MBELE KUTOKUHIMILI MITAZAMO YA WENGINE INAYOKINZANA NA YA KWAO......TENA WENGINE MPAKA WANATOA LUGHA ZA MATUSI.......

MIMI NADHANI DEMOKRASIA INAYOPIGANIWA HAPA KWETU NI YA TOFAUTI NA WENZETU WANAOJUA MAANA YA DEMOKRASIA.....
 
Kwani Lissu alisema lipi la maana. Sema na yale ya Lissu badala ya kusema aliumizwa saaana! So what? KWani TZ nzima iliiumizwa?
Mwambieni ajifunze kuzungumza kimataifa. Akiendelea na mtindo huo hana jipya. Siyo mchumi, siyo mwanasayansi, siyo... ni mwanasheria. Mwananchi asikie nini kwake?
 
Mpuuzi Tundu Lissu ndiye wa kupuuzwa
 
Just because he didn't feed your ego...
Miaka hii ndo watajua siasa za mitandaoni zisivyolipa. Hawako Bungeni sasa imekuwa taabu! Rafiki ni yule anayewaonea huruma. Anayewaambia ukweli huyo ni adui.

I predicted the idea mismatch. LIssu siyo thinker. amekariri vifungu vya katiba. Hajui kingine nje ya aliyokariri. Hawezi kutengeneza jipya. Lumumba ni thinker. hategemei yaliyoandikwa zamani, yeye mwenyewe ni muandikaji wa mambo mapya. Sasa afanye debate na Lissu!
 
Based on title, hivyo maprofesa wa ulaya wapaishwr...
 
Wa kusaidiwa wewe!
 
Huyu PLO alikubaliana na Magufuli amwandikie kitabu kumsifu ambapo Magufuli angemlipa hela nyingi sana lakini Mungu aliona ni ujinga na njia ya kuwaibia waja wake.

Let no one be worshipped but the living God, he saw what we could not see. He wanted Magufuli to have a perpetual rest and the same to Tanzania.
 
Profesa mchimbachumvi .

Anakula hela za mafala wanaomuarika kwenye mihadhara Hana uzalendo wa kiafrika hata chembe .

Nimemdharau

Amesikia analiita jina la Tundu eti Tindi

Falaa sana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…