PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

PLO Lumumba apuuzwe kama maprofesa wengine wa Afrika

Nimeipenda tu ulivyo malizia.

Ila Lissu analishwa matango na watu afu hafanyii hata home work anaruka hivyo hivyo.

Katoa details za ugonjwa wa Magufuli hadi za uongo. Mara ya mwisho Alisema Hayati anapelekwa India. Hii nayo tukampotezea.

Kamuua hadi mlinzi wa hayati Magufuli.

Kifupi Kazi anayofanya Lissu anatakiwa apumzike then aje mwingine. Ameshachoka.
 
Asipuuzwe kwani kazungumza points. Na wewe uliyayasema ni ya kweli na una points muhimu sana
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Mchambuzi uchwara
 
Nimeipenda tu ulivyo malizia.

Ila Lissu analishwa matango na watu afu hafanyii hata home work anaruka hivyo hivyo.

Katoa details za ugonjwa wa Magufuli hadi za uongo. Mara ya mwisho Alisema Hayati anapelekwa India. Hii nayo tukampotezea.

Kamuua hadi mlinzi wa hayati Magufuli.

Kifupi Kazi anayofanya Lissu anatakiwa apumzike then aje mwingine. Ameshachoka.
Wewe tupe uhakika je hakupelekwa India?
 
UKOMAVU WA KISIASA NI PAMOJA NA KUHESHIMU MAONI NA MITAZAMO YA WENGINE HATA KAMA INAKINZANA NA UTASHI WAKO........

NASHANGAZWA NA WANAOJINASIBU KUWA NI WAPIGANIA DEMOKRASIA NA UHURU WA KUTOA MAONI HUKU WAO WAKIWA MSTARI WA MBELE KUTOKUHIMILI MITAZAMO YA WENGINE INAYOKINZANA NA YA KWAO......TENA WENGINE MPAKA WANATOA LUGHA ZA MATUSI.......

MIMI NADHANI DEMOKRASIA INAYOPIGANIWA HAPA KWETU NI YA TOFAUTI NA WENZETU WANAOJUA MAANA YA DEMOKRASIA.....
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Kwani Lissu alisema lipi la maana. Sema na yale ya Lissu badala ya kusema aliumizwa saaana! So what? KWani TZ nzima iliiumizwa?
Mwambieni ajifunze kuzungumza kimataifa. Akiendelea na mtindo huo hana jipya. Siyo mchumi, siyo mwanasayansi, siyo... ni mwanasheria. Mwananchi asikie nini kwake?
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Mpuuzi Tundu Lissu ndiye wa kupuuzwa
 
Just because he didn't feed your ego...
Miaka hii ndo watajua siasa za mitandaoni zisivyolipa. Hawako Bungeni sasa imekuwa taabu! Rafiki ni yule anayewaonea huruma. Anayewaambia ukweli huyo ni adui.

I predicted the idea mismatch. LIssu siyo thinker. amekariri vifungu vya katiba. Hajui kingine nje ya aliyokariri. Hawezi kutengeneza jipya. Lumumba ni thinker. hategemei yaliyoandikwa zamani, yeye mwenyewe ni muandikaji wa mambo mapya. Sasa afanye debate na Lissu!
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Based on title, hivyo maprofesa wa ulaya wapaishwr...
 
Katika mahojiano ya Jana VOA

-Anasema Vyama vya upinzani havijaenea kama CCM,kwa hiyo hii inathibitisha ushindi wa kishindo wa CCM kwenye uchaguzi mkuu 2020?
-Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je, kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Tunawafahamu vizuri wakenya,tukio hili lingetokea Kenya lingeweza kumtoa hata Rais madarakani.
-Alisema kila sekta ya uchumi Tanzania imekua ndani ya miaka mitano,mfano wa harakaharaka ni ATCL na TPA,haya mashirika yamekua kweli?
-Anasema ameshafika Chato,ila hawezi kuifahamu vizuri kama sisi watanzania.Miradi mingi ndani ya muda mfupi imeelekezwa kule,bila hata ya bajeti,katika mazingira hayo lazima pesa nyingi imepigwa.
-Anasema Agricultural sector imekua!
Kilimo na mifugo kimekua lini?
Bei ya mazao kama Korosho,pamba na mpunga ikoje?
Inafika mahali mtu unalima pamba halafu unakopwa!.

-Cha maana alichosema ni kuhusu Lissu kumsamehe marehemu.
Si busara sana kuendelea kumchukia marehemu magufuli,japo TL aliumizwa sana kuliko yeyote kwenye utawala wa hayati Magufuli. Jiulize risasi zote hizo?matibabu akanyimwa?ubunge kavuliwa?Kwa binadamu wa kawaida si rahisi kusahau na kusamehe haraka,ni kwa neema ya Yesu tu.

Nimejifunza kitu kuhusu PLO Lumumba:

Inawezekana kabisa huyu mzee anatumia taaluma yake na umaarufu kujipatia pesa,kwa marais fulani fulani,ili awaseme vizuri.
Na hata hivyo haifahamu vizuri katiba ya Tanzania (au anafanya makusudi).

Nimejifunza kitu pia kuhusu Tundu Lissu:

Bado ana hasira sana na hayati Magufuli na watesi wengine,na bora chama chake CHADEMA,kiangalie namna ya kumsaidia.
Kwa upande mwingine,huyu mtu ana vyanzo vingi sana vya habari vikiwemo na vya ndani ya serikali.
Alikuwa na details zote wakati wa kuugua mpaka kifo cha rais Magufuli.

Namwomba arudi Tanzania,makosa serikalini hayataisha,aendelee kukosoa na kuishauri serikali huku akiwa nyumbani.

Ni maoni yangu tu. Hayako sahihi kihivyo.
Wa kusaidiwa wewe!
 
Huyu PLO alikubaliana na Magufuli amwandikie kitabu kumsifu ambapo Magufuli angemlipa hela nyingi sana lakini Mungu aliona ni ujinga na njia ya kuwaibia waja wake.

Let no one be worshipped but the living God, he saw what we could not see. He wanted Magufuli to have a perpetual rest and the same to Tanzania.
 
Profesa mchimbachumvi .

Anakula hela za mafala wanaomuarika kwenye mihadhara Hana uzalendo wa kiafrika hata chembe .

Nimemdharau

Amesikia analiita jina la Tundu eti Tindi

Falaa sana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom