PLO Lumumba, kusema CCM ni chama kinachopigania kunyanyua maisha ya Watanzania maskini kwa kutumia vizuri rasilimali za Tanzania, unadanganya dunia

Hicho alichokisifia kinalandana na maendeleo ya wananchi? Maendeleo ya taifa lolote kiuchumi lazima yalandane na maendeleo ya wananchi.
 
Muongo sana huyo Lumumba CCM ipo Madarakani kwa Miaka 60 Umasikini Umetamalaki kwa Wananchi wake mpaka imewabatiza Jina WANYONGE bin MASIKINI Tanzania ina kila Aina ya Rasilimali iweje Wananchi wake wawe Masikini
 
Hicho alichokisifia kinalandana na maendeleo ya wananchi? Maendeleo ya taifa lolote kiuchumi lazima yalandane na maendeleo ya wananchi.
wananchi gani mbona huku kwetu tunapiga kazi na ela tunaipata na tumefanya maendeleo mazuri huko kwenu mmenyang'anywa pesa mlizochuma katika shughuli zenu za maendeleo?
 
wananchi gani mbona huku kwetu tunapiga kazi na ela tunaipata na tumefanya maendeleo mazuri huko kwenu mmenyang'anywa pesa mlizochuma katika shughuli zenu za maendeleo?
Unaweza ukawa choko unaejiuza lazima mambo yako yawe mazuri
 
Kwani mnalifahamu vyema,jukumu alilopewa pindi tunamkaribisha nyumbani.
 
Nimesikia mahojiaano yako ukisema kuwa Mkapa aliviponda vyama vya upinzani. JE, UMESOMA KITABU CHAKE? Katika kitabu hicho aliona kuwa TUME YA UCHAGUZI NI JUMUIYA YA CCM na ni kikwazo katika ustawi wa demokrasi. kwani haiwezi n haijawahi kutend haki.

TUNA MAPROFESA MAJALA WENGI!
 
Naaona PLO Lumumba amechafua kabisa Hali ya hewa baada ya kumpa ukweli yule ndugu yetu mpendwa wa ubeligiji naona watu wameamka na hasira kali sana dhidi yake.
 
Hicho kitabu kiko wapi, nisomee hapo pa ... number of children.... alisema ni wangapi
 
PLO Lumumba kwenye mahojiano na Ssali kaonekana yeye ndo mzalendo kuliko mzawa, duh!! Dunia hii!.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yule mtu yupo articulate sana uwezi kujifananisha na wewe.

Kamnyosha lissu
 
We Nini unachobisha hapa Magufuli angekaa miaka yake 10 wengi wetu tungekuwa tunakula mlo mmoja tena kwa tabu sana kodi ingekuwa kwenye kila kitu bila kujali
ili miradi pesa ya reli, madaraja, bwawa la umeme na mabarabara zipatikane ili dunia itambue kwamba Tanzania ni tajiri na inaweza bila misaada ni ushamba

Hivyo vyote vinawezekana kwa mipango ya kutumia akili lakini siyo kwa namna ya uongozi ule
Cha kushukuru zimebaki ligi tu ila Mungu kabadili upepo naamini sheria nyingi jinga jinga zitaenda kufutwa na mambo yataenda sawa

Nadhani sheria hizo wataenda kutungiwa malaika huko mbinguni
Yote kwa yote furaha na uzuni zote ni hisia na apangiwi mtu
 
Huyo Lumumba anafahamika sana huko kwao kama kinyago cha vichekesho na kiingereza chake cha "bombastic" na sentensi za mizungusho.

Hakuna anayemchukulia kwa umakini huko.

Huku alishamnasa Magufuli, awe wakala wake mkuu wa kumjengea sifa asizostahili.

Bahati yake mbaya, ulaji wake corona kautapisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…