PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

Nimependa grammar yako aisee! Such...that ahahaha wakola waitu
 
Maskini mnamwaribia kijana Majaliwa..

Rais ajaye ni kijana Marope, na ndo msimamizi mkuu wa Networking Ikulu! Mark my saying!
 
Kwa magu kisichowezekana kinawezekana
 
Wanafiki mmeanza kumharibia Mhe.Kassim Majaliwa.Sifa zote za Urais anazo!
Na zaidi ya yote ni mnyenyekevu wa kweli na msikivu sana!
 
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Atamwibua mtu wa ajabu na kusema urais hausomewi,
 
Magufuli bado tunamhitaji sana nataman aendelee ila kama ni ngumu atuletee mtu kama yeye
 
Once upon time, a Ha peasant from Kigoma aspired and submitted his request to be appointed as a contestant for presidency representing Chama Cha Mapinduzi.

Was Magufuli the Head of state by then? Was the presidency Bar lowered as well?

Did the peasant from Kigoma ascend to the Presidency?
 
Lumbumba wameanza kuumana meno wenyewe kwa wenyewe eee baada ya kuwatenda wapinzani - dhambi ya ubaguzi..
 
Did the peasant from Kigoma ascend to the Presidency?

He aspired for, having the guts to apply for appointment displays that he considers himself eligible to lead the office.
 
Ataaibika vibaya sana, hawajui wajumbe, kwa yeye anadhani wanavyomheshimu sasa itakuwa hivyo kwenye chaguzi ya 2025 ndani ya chama. Wajumbe huwa hawaweki matumaini yao kwa anayeondoka, huwa wanaweka kwa MTU mpya anayekuja kwa sababu ya ahadi ya vyeo,mtu anayeondoka atakuahidi nini ukamwelewa
 
Sisi wajumbe toka mikoa ya kusini, kwa maana ya mtwara,Lindi,Ruvuma ,mbeya iringa ,Rukwa na Katavi, tumeapa piga Ua, fila garagaza kura yetu kwa Dr. Emmanuel Nchimbi. Tutafia uwanjani, na sisi zamu yetu kula bata mitano ijayo
 
My Take! Kutamani Urais si dhambi. Lakini tamaa hiyo inapokuondoa katika utendaji kazi basi ni kheri kujiuzulu ili kuwa huru kusaka Urais. Lakini pia ikumbukwe Waziri Mkuu naye ni Mkulu kiprotokali. Anaishi Ikulu.
Crap!
Aliekwambia waziri mkuu anaishi ikulu ni nani?
Mbunge anawezaje kufuatilia nyendo za waziri mkuu?
Uchaguzi bado sana,fanyeni kazi
 
Kweli aise, ebu fikiria hadi chadema wakataka eti Tundu na poyoyo wake Salum Mwalimu wawe rais na makamu wa rais.
 
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
pascal Mayalla alijua na kuleta uzi humu mwaka 2014
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…