PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

Ni mtu kama Nape Mnauye tu ndio anaweza kuanza kuandika fitina kama hizi kwani alikatazwa kuzunguka zunguka kufanya kampeni kwenye sehemu nyingine tofauti na constituency yake!!! I am told he also has presidential ambitions!.

Jiwe has lowered the bar of the presidency to such a low such that even fools believe they can be presidents.
Nimependa grammar yako aisee! Such...that ahahaha wakola waitu
 
Maskini mnamwaribia kijana Majaliwa..

Rais ajaye ni kijana Marope, na ndo msimamizi mkuu wa Networking Ikulu! Mark my saying!
 
Uzoefu katika historia, ni vigumu sana kwa mtu aliyekuwa Waziri Mkuu kuupata Urais.
Fuatilia:
Sokoine
Salim Ahmed Salim
Cleopa Msuya
Warioba
Malecela
Sumaye
Lowassa
Pinda

Hao Mawaziri Wakuu si kwamba hawakujaribu bahati zao kuupata Urais , la hasha!
Mkuu wa utendaji serikalini huwa amebeba lawama nyingi sana za kiutendaji, hivyo kubeba liabilities kisiasa na maadui.
Kwa magu kisichowezekana kinawezekana
 
Wanafiki mmeanza kumharibia Mhe.Kassim Majaliwa.Sifa zote za Urais anazo!
Na zaidi ya yote ni mnyenyekevu wa kweli na msikivu sana!
 
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Atamwibua mtu wa ajabu na kusema urais hausomewi,
 
Magufuli bado tunamhitaji sana nataman aendelee ila kama ni ngumu atuletee mtu kama yeye
 
Once upon time, a Ha peasant from Kigoma aspired and submitted his request to be appointed as a contestant for presidency representing Chama Cha Mapinduzi.

Was Magufuli the Head of state by then? Was the presidency Bar lowered as well?

Did the peasant from Kigoma ascend to the Presidency?
 
Lumbumba wameanza kuumana meno wenyewe kwa wenyewe eee baada ya kuwatenda wapinzani - dhambi ya ubaguzi..
 
Marais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.
Ataaibika vibaya sana, hawajui wajumbe, kwa yeye anadhani wanavyomheshimu sasa itakuwa hivyo kwenye chaguzi ya 2025 ndani ya chama. Wajumbe huwa hawaweki matumaini yao kwa anayeondoka, huwa wanaweka kwa MTU mpya anayekuja kwa sababu ya ahadi ya vyeo,mtu anayeondoka atakuahidi nini ukamwelewa
 
Sisi wajumbe toka mikoa ya kusini, kwa maana ya mtwara,Lindi,Ruvuma ,mbeya iringa ,Rukwa na Katavi, tumeapa piga Ua, fila garagaza kura yetu kwa Dr. Emmanuel Nchimbi. Tutafia uwanjani, na sisi zamu yetu kula bata mitano ijayo
 
My Take! Kutamani Urais si dhambi. Lakini tamaa hiyo inapokuondoa katika utendaji kazi basi ni kheri kujiuzulu ili kuwa huru kusaka Urais. Lakini pia ikumbukwe Waziri Mkuu naye ni Mkulu kiprotokali. Anaishi Ikulu.
Crap!
Aliekwambia waziri mkuu anaishi ikulu ni nani?
Mbunge anawezaje kufuatilia nyendo za waziri mkuu?
Uchaguzi bado sana,fanyeni kazi
 
Ni mtu kama Nape Mnauye tu ndio anaweza kuanza kuandika fitina kama hizi kwani alikatazwa kuzunguka zunguka kufanya kampeni kwenye sehemu nyingine tofauti na constituency yake!!! I am told he also has presidential ambitions!.

Jiwe has lowered the bar of the presidency to such a low such that even fools believe they can be presidents.
Kweli aise, ebu fikiria hadi chadema wakataka eti Tundu na poyoyo wake Salum Mwalimu wawe rais na makamu wa rais.
 
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
pascal Mayalla alijua na kuleta uzi humu mwaka 2014
 
Back
Top Bottom