PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022


Ni hapo sasa tuchakate akili zetu ili tusiwaachie hawa wanasiasa pekee watujie na hizo cheap statistics na sisi tuzimeze tu, tujue ikiwa gas, hydro nk kwenye enviromental impacts inakuwa covered or not, kwenye miutambo ya songas, na hata Dowans tulikuwa tinalipa mpaka capacity chargies.

Hawa wanasiasa ni watu wa kupita na session zao end of the day atataka kugain porpularity ameke lakini sisi walaji ndiyo tutaumia zaidi.

Ikiwa report ya cag inaenda kwa rais then bungeni baada ya hapo inakuwa ni public docs basi na hii mikataba na plan project ipitie mfumo huo huo ili end of the day iwe ni miradi ya public na si ya mtu mmoja. Hapo hata kama ikitokea la kutokea tunawajibika wote
 

Safi sana acha hao wanaokazana na kumrushia mendazake molotov cocktail waendelee muda ndio utawahukumu wao na vizazi vyao. Maprof nao wamejiingizwa kwenye huu mchezo. Aina ya Prof vilaza walio mzungu jamaa kipindi cha zama zile mangungu ndio maana alifail miserably.
 
Katika maprofesa ambao hawaaminiki na mhongo yumo,elim kubwa lkn hakuisaidia nchi,mtu wa ajabu sana,
 
Shida sio kuisha lini, Tatizo kutumia feasibility study ya miaka 70[emoji23][emoji23][emoji23]
Nami naona shida Sio feasibility study ya miaka 70, naona ni kuisha..

kama hiyo ya miaka ya 70 inatekelezeka kwanini tuangaike tena kupata 2017?

Nilitegemea CAG aitumie elimu yake kuweka mambo bayana mfano mradi hautafanya kazi KWA kwa sababu feasibility study ya miaka 70 na si kutajataja tu...
 
Hilo nalo no tatizo ikuzingatia kila kitu kimebadiloka mpaka technology,Mabadiliko ya tabia nchi nk.
Hiv huwa akuna uwezekana wa kufanya Marekebisho?mfano teknolojia iliyopangwa kutumika KWA miaka ile ibadiliswe na kutumika improved iliyopo?.kidogo kwenye Tabia ya nchi
 
Kibaka ni waziri mkuu wa Taifa la Majuha ambae alidanganya uma kuwa rais yupo buheri wa afya na anachapa kazi wakati Rais alikuwa hoi bin taabani kwa gonjwa la Corona![emoji16][emoji16][emoji51]
Ni mambo mengi tu hufichwa..na machache unayotaarifiwa kutoka hata KWA hao unaowaita wakweli,wametaka uyajue tena huwa ni kwa sababu maalum.mengi huwa wanakudaganya na kukuficha...
 
Miaka ya 70 hali ya hewa ya nchi sidhani kama ni sawa na sasa technology imebadlka sana umeme wenyewe wa kutegemea maji ya msimu ila ngoja tuone mwisho wakeee
Sio sawa...ILA lengo la kujenga bwawa ni kutunza maji wakati ambayo mto huwa na maji kidogo
 
Mkuu mimi mwenyewe naishangaa hii praise team...CAG alipaswa atoe sababu ya kutotumia hiyo ya miaka ya 70...siasa mbaya sana..
 
Tuzidi tu kuwaombea...
 
Muhongo is hopeless sana. Hawa wasomi wetu wa kitanzania wana shida sana yaani mtu kama huyu kuna kipindi alimkashifu sana mwendazake mzee Mengi mpaka basi. Asijue yule mzee angeweza kumuajiri kwa mshahara mkubwa kuliko hata huo wa ubunge alionao sasa hivi.
 
Everything has specific reason... doesn't occur from no where...so ulidaganywa kea specifiki resoan
Hakuna uwongo mzuri na uwongo mbaya.Uwongo ni uwongo tu.Uwongo wote ni kitu kibaya ndiyo maana kwa Mungu kusema uwongo wowote ule ni dhambi.
 
Ni mambo mengi tu hufichwa..na machache unayotaarifiwa kutoka hata KWA hao unaowaita wakweli,wametaka uyajue tena huwa ni kwa sababu maalum.mengi huwa wanakudaganya na kukuficha...
Kutudanganya kwa mengi haihalalishi wala haifanyi uwongo aliosema juu ya hali ya Magufuli kuwa uwongo mzuri au kuwa uwongo usio na tatizo au kuwa siyo kosa.
 
Bwana Majaliwa anaona Kama June 2022 Ni mbali sana.
Bwana Majaliwa reli ya Moro imechukua muda gani na bado muda gani. 200 km in five years na bado. Forget Mwanza au hata Dodoma. Moro miaka mitano Ni maneno tu.
Haya, barabara ya Kimara Kibaha Ni km chini ya 20. Mwaka wa ngapi huu.
Bwana Majaliwa tuongelee hivi vidogo kwanza. Stiegler's mpaka UPINZANI uingie madarakani.
PM mkitaka kuepuka laana zaidi walipeni kwanza mliowavunjia nyumba zao Mbezi bila fidia Tena kwa Mbwembwe nyingi mpaka wengi wakafa, kupooza na kuathirika kisaikolojia. Hii dhambi haitawaacha salama.
Yale machozi waliyotoa waathirika wasiokua na hatia yatawafuata.
 
Hivi si tuliambiwa ni april 2021
Mkuu mwache mwendazake apumzike maana kabwawa kenyewe hako kanaonekana kadogo na kuna kila dalili ya kupungua maji ama kukauka kimuonekano na kimaono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…