PM Majaliwa: Rais Samia amerejesha amani kwa Watanzania

PM Majaliwa: Rais Samia amerejesha amani kwa Watanzania

Eti kunawatu wanahoji lini amani ilitoweka???
Kuna baadhi yamatz nimajinga na vichwa panzi ndomana hatuendelei!!
Hivi kipindi chamwenda tulikaa kwa amani? Kutekana,kutukanwa,kutishwatishwa,marisasi,maupendeleo yakikanda na kikabila,fukuzafukuza watu kazi isivyohaki ilikuwa ni amani??
Yeye PM alitishiwa shangazi zake wangepigwa hiyo ilikuwa amani?
Wakuu wa mikoa/wilaya baadhi waliokuwa wapumbavu kutwa kutisha,kupiga,kusweka watu ndani kiholele ilikuwa amani?
Amakweli wajinga ndiyo waliwao.
Mkuu,usiumize kichwa chako.Maswali mengine yanaulizwa "kimtindo" tu ili kebehi ifike kunakotakiwa.
 
Eti kunawatu wanahoji lini amani ilitoweka???
Kuna baadhi yamatz nimajinga na vichwa panzi ndomana hatuendelei!!
Hivi kipindi chamwenda tulikaa kwa amani? Kutekana,kutukanwa,kutishwatishwa,marisasi,maupendeleo yakikanda na kikabila,fukuzafukuza watu kazi isivyohaki ilikuwa ni amani??
Yeye PM alitishiwa shangazi zake wangepigwa hiyo ilikuwa amani?
Wakuu wa mikoa/wilaya baadhi waliokuwa wapumbavu kutwa kutisha,kupiga,kusweka watu ndani kiholele ilikuwa amani?
Amakweli wajinga ndiyo waliwao.
Kwa sababu hizo basi hata sasa hakuna amani maana hatujui serikali italeta tozo gani nyengine muda wote tunawaza tozo na kibaya ukihoji unaambiwa uende Burundi yani hakuna amani kabisa, lakini pia ajali za barabarani zimezidi awamu hii yani ukiwa huko kwenye chombo cha moto barabarani huna amani kabisa.
 
Back
Top Bottom