Kwani tulikua vitani??
..vita ya uchumi na mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tulikua vitani??
Hivi kumbe amani ilitoroka?WanaCCM wengine wamesoma hii?😂😂😂😂😂"....tumpongeze Rais Samia kwa kurejesha amani kwa Watanzania. "
Hayo ameyasema huko Kizimkazi, Zanzibar.
NB: Lini amani ya Watanzania ilitoweka...?!
Mkuu,usiumize kichwa chako.Maswali mengine yanaulizwa "kimtindo" tu ili kebehi ifike kunakotakiwa.Eti kunawatu wanahoji lini amani ilitoweka???
Kuna baadhi yamatz nimajinga na vichwa panzi ndomana hatuendelei!!
Hivi kipindi chamwenda tulikaa kwa amani? Kutekana,kutukanwa,kutishwatishwa,marisasi,maupendeleo yakikanda na kikabila,fukuzafukuza watu kazi isivyohaki ilikuwa ni amani??
Yeye PM alitishiwa shangazi zake wangepigwa hiyo ilikuwa amani?
Wakuu wa mikoa/wilaya baadhi waliokuwa wapumbavu kutwa kutisha,kupiga,kusweka watu ndani kiholele ilikuwa amani?
Amakweli wajinga ndiyo waliwao.
Kwa sababu hizo basi hata sasa hakuna amani maana hatujui serikali italeta tozo gani nyengine muda wote tunawaza tozo na kibaya ukihoji unaambiwa uende Burundi yani hakuna amani kabisa, lakini pia ajali za barabarani zimezidi awamu hii yani ukiwa huko kwenye chombo cha moto barabarani huna amani kabisa.Eti kunawatu wanahoji lini amani ilitoweka???
Kuna baadhi yamatz nimajinga na vichwa panzi ndomana hatuendelei!!
Hivi kipindi chamwenda tulikaa kwa amani? Kutekana,kutukanwa,kutishwatishwa,marisasi,maupendeleo yakikanda na kikabila,fukuzafukuza watu kazi isivyohaki ilikuwa ni amani??
Yeye PM alitishiwa shangazi zake wangepigwa hiyo ilikuwa amani?
Wakuu wa mikoa/wilaya baadhi waliokuwa wapumbavu kutwa kutisha,kupiga,kusweka watu ndani kiholele ilikuwa amani?
Amakweli wajinga ndiyo waliwao.
Anayemiliki bendi, ndio anachagua wimbo wa kupigwa.
Wanaosubiria apige wimbo wa Marehemu watasubiri sana!He who pays a whistle blower chooses a song!
Siasa tu ..."....tumpongeze Rais Samia kwa kurejesha amani kwa Watanzania. "
Hayo ameyasema huko Kizimkazi, Zanzibar.
NB: Lini amani ya Watanzania ilitoweka...?!