PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

Naomba ufafanuzi zaidi ....Sijaelewa kabisa unalenga nini kwa maelezo hapo juu kuhusu bandari na DPW.
Uelewa wetu kuhusu the whole logistic chain ni mdogo sana. Tunamuongelea DPW kwa mtazamo wa mwekezaji wa bandari yetu lakini maana ya bandari kwa dunia ya sasa imebadilika sana.

Bandari humaanisha ule mnyororo mzima wa kuanzia bidhaa zinapozalishwa kuja mahali zinapopakiwa melini na kushushwa huko kwa wateja ziendapo.
 
Uelewa wetu kuhusu the whole logistic chain ni mdogo sana. Tunamuongelea DPW kwa mtazamo wa mwekezaji wa bandari yetu lakini maana ya bandari kwa dunia ya sasa imebadilika sana.

Bandari humaanisha ule mnyororo mzima wa kuanzia bidhaa zinapozalishwa kuja mahali zinapopakiwa melini na kushushwa huko kwa wateja ziendapo.
Kwa kuwa hatuelewi logistics za bandari kama wewe mwenzetu tena mwenye kuielewa logistic strategy ya DPW ....ndio uhalalishe kukabidhi bandari zetu EPZ na bandari kavu zetu kwa DPW?
Vipi kuhusu sovereignty ya nchi yetu? Hatuwezi kuboreshe wenyewe bandari na mfumo mzima wa usafirishaji tukashindana na DPW?
 
Kifo kina kudanganya? Utaificha maiti mpaka lini? Au walitaka waliweke robot?

Sasa hapa kakudanganya nini?
Mtu yupo ICU au ameshafariki wewe ukaambiwa ameongea naye na yupo anafanyia kazi ofisini. Mwenzetu huo unaona bado ni ukweli?
Acha kujizima data. Yatakuyokea puani.
 
Hujapata shemeji wa kutokea Dubai bado? Dar hapatoshi, palivyojaa ma handsome wa Kiarabu, japo kunanukia uturi.
Hamia huko kwa waume zako huko Dubai. Hatuwataki huku. Wasitujaribu wakadhani wataweza kutuwinda kama swala wa mwituni kama wanavyofanya huko Darfur, Sudan Kusini na kwingineko. Tutawanyoosha mchana kweupe.
 
Hakuna kafiri atakaekubali waarabu waendeshe bandari, hata aseme nani wacha pm, kwahiyo la msingi tuwaachie wenyeji wa bandari waamue tuone kama kuna kafiri atakuwa na bandari
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lissu; wanaotetea mkataba wa DPR World ni either WAMEHONGWA or ni HAMNAZO!!!
 
Kinachotakiwa sasa hivi serikali iamuwe kama serikali, watu wamesikilizwa sana, wameelimishwa sana. Sasa amabae hataki kusubiri mikataba, alambwe fimbo tu au akaisubirie lupango.
Umekula maharage ya wapi vile!!
 
Na mkataba ulikuwa hivyo hivyo? tuonyeshwe mkataba wa TICKS tuone Kama unafanana na huu wa kishenzi na kikoloni
 
Maasai wa Ngorongoro Bado hawajapona majeraha Yao,

Umeanza tena na huku?

Tulikushauri ukae kimya husikii?
 
Back
Top Bottom