PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

Nadhani hii Sentensi bora asingeisema..., ni sawa sawa Kicheche amwambie kuku niamini siwezi kukudhuru..., nadhani cha maana kuliko kuaminiana (which has been proven kwamba hawa jamaa na politicians in general sio wakweli ni the past) waweke uwezi na kila kitu kiwe transparent na open (upuuzi wa siri za mikataba ibakie huko kwenye familia na ukoo wao - Sio mali ya vizazi hivi na vizazi vijavyo

Urithi sio mali yako pekee sababu uliikuta inabidi kuwaachia na wengine hivyo iwe na uwazi wa nini kinaendelea

Kama kusimamia Tozo zetu tu mnaboronga alafu leo mnakuja eti tuwaamini (si tutakuwa mazezeta)
 
Pm hakujiandaa kuwa pm au anafanya kwa makusudi
Uwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.
 

Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.

Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.

Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.

Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.


Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Mwambieni hamtumuelewi
 
PM wasipoteze muda kuwaelimisha watu ambao hawataki kuelimika wana agenda zao hao
 
Uwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.
Aisee watu mnajua kudharau
 
Huyu naye ni walewale hajausoma huo mkataba. Aache kuropoka (japo namheshimu). Mkataba wenyewe umeandika wazi, yeye anajisemea ya kutoka kichwani mwake. Waufute huo mkataba haufai.
Kwa nini hawanukuu hivyo vifungu kudhibitisha wayasemayo?
 

Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.

Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.

Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.

Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.


Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Hatuwaamini tena! Na bado hatujasahau maneno ya PM alivyotudanganya kwamba Magufuli ni mzima,kumbe alishakufa.
 
Uwezo wake kiuongozi ni mdogo sana. Chini ya JPM alifanya kazi kama tarishi. Sasa hivi anatakiwa afikiri, lakini inaonekana uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo. Anadhani kufoka ni sehemu ya uimara wa kiongozi.
PM na Rais inabidi iwe partnership inayokubaliana na kushibana na kufanya kazi pamoja (as a team) Ndio maana kwa nchi yetu ya watawala na sio viongozi - Inabidi mtu kama Kawawa afanye kazi na Nyerere (Kawawa was Shielding Mabaya yote ya Nyerere hivyo watu kumuamini Nyerere na kufuata maelekezo na lawama kumuangukia Kawawa na kumlaumu; Nahisi kwa hapa au kwa hili huenda Samia anataka kumtupia zigo Majaliwa awe Kawawa wake - Kwanini nasema hivyo - Mwanzo alikaa kimya kuanza DPW)

Ila all in all Waziri Mkuu inabidi awe mtendaji na kwa kutenda huko inabidi aruhusiwe kufanya hivyo (sasa kama hauruhusiwi inakuwaje) - Sokoine alikuwa Mtendaji na Alikuwa mkali na mfuatiliaji (Je angaweza kufanya hayo bila Boss wake kumkumbalia) Ndio maana kila siku nasema JPM would have made the Best Prime Minister ever - Kama rais angekuwa sio mfuatiliaji na mwanadiplomasia (yaani JPM anakiwasha huku Rais anakipuliza polepole)
 
hivi nani alileta huu mchongo wa Bandari ?
 
Wewe uko shimoni, hata hujitambui.

Ni Kwa Nini wapewe Bandari zote za Tzania Bara.Kwa Nini hUO mkataba usihusishe pia Bandari za Znzibar,Wakati Bandari Ni Swala la MUUNGANO?

Ina maana Zanzibar wao hawataki uwekezaji huu wenye Faida Kubwa ? Ati tuwaamini Viongozi! Tutawaamini vipi.Wao watachukuwa Chao mapema,anatawala miaka yake 10 anao doka madarakani.

Hiyo hasara yoote na mzigo wooote anabaki nao Mtanzania miaka yote 40 au 90 inayobaki.HALAFU HAO VIONGOZI WANAYOFANYA HAYO MAAMUZI YA HASARA HIVI, TAYARI WAMEJITUNGIA SHERIA YA KUTOSHITAKIWA baada ya kustaafu.

Kama MAAMUZI yao hayana HILA,Ni kwa Nini watunge Sheria ya kujiwekea Kinga ya KUTOSHITAKIWA kwa uovu na wizi wanaoufanya wanapokuwa madarakani
Bandari za zanzibar hazimo kwa sababu wanasema kila mmoja anasimamia bandari zake
 

Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.

Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.

Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.

Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.


Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Huaminiki Hata kidogo.

Ubunge wako ulitenguliwa na Mahakama Bado unajiita mbunge!
 

Waziri Mkuu ameomba Watanzania waiamini Serikali kwenye uwekezaji unaotaka kufanyika Bandari, akidai kuwa sio uwekezaji wa kwanza wala sio jambo jipya bali kulikuwa na mwekezaji ambaye walimpa vipindi vya kumfanyia tathmini hadi akafika miaka 22 na ameondoka Novemba mwaka 2022; hivyo DP World nao watampa vipindi kama aliyekuwepo.

Waziri Mkuu Majaliwa anasema Mwekezaji huyu mpya hajauziwa bandari, ila atapewa kuwekeza.

Kuhusu ukomo wa muda, amesema wanaodai DP World kapewa miaka 100 au milele sio kweli kwani hapajaandikwa popote juu ya ukomo ila akija ndio watakubaliana juu ya suala hilo.

Ameongeza kuwa Mwekezaji hajauziwa ardhi kwani hata sheria za nchi haziruhusu ila mwekezaji atapewa kibali cha kukaa juu ya ardhi na atalipa kodi, pia mkataba utazingatia maslahi ya nchi kama wengi wanavyodai.


Pia soma: Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
KWA HALI HII HUWEZI KUAMINIKA MILELE
 

Attachments

  • F3397D75-0052-45CF-AEA5-4D8FBD8A4209.jpeg
    F3397D75-0052-45CF-AEA5-4D8FBD8A4209.jpeg
    72.1 KB · Views: 1
  • IMG_1091.MP4
    5.4 MB
  • DEC509E0-6BBA-4D7B-B2AD-8505DE356AC0.jpeg
    DEC509E0-6BBA-4D7B-B2AD-8505DE356AC0.jpeg
    141.1 KB · Views: 1
  • 591AA14F-62EC-4BCA-A5C3-995ED252D568.jpeg
    591AA14F-62EC-4BCA-A5C3-995ED252D568.jpeg
    70.4 KB · Views: 1
  • EDB84494-7081-43D4-AE36-2E43DC56EFF0.jpeg
    EDB84494-7081-43D4-AE36-2E43DC56EFF0.jpeg
    115 KB · Views: 1
  • D155D73A-402E-4502-B1B0-8AF0765AA0D4.jpeg
    D155D73A-402E-4502-B1B0-8AF0765AA0D4.jpeg
    78.6 KB · Views: 1
  • 81FFD0A1-55B1-4FF9-B44D-A06D345A857E.jpeg
    81FFD0A1-55B1-4FF9-B44D-A06D345A857E.jpeg
    79.1 KB · Views: 1
  • AC370BCB-6D74-47F0-AC9B-66B18F390A15.jpeg
    AC370BCB-6D74-47F0-AC9B-66B18F390A15.jpeg
    9.9 KB · Views: 1
  • IMG_1035.MP4
    13.1 MB
  • AFA5CFD9-9B3C-4718-9A86-098BB92ED84F.jpeg
    AFA5CFD9-9B3C-4718-9A86-098BB92ED84F.jpeg
    33.9 KB · Views: 1
  • A9EC332B-957D-4456-9A4F-143FF416DDA0.jpeg
    A9EC332B-957D-4456-9A4F-143FF416DDA0.jpeg
    57.3 KB · Views: 1
  • D04603E9-7B8C-4F6B-B086-87645F0F28C0.jpeg
    D04603E9-7B8C-4F6B-B086-87645F0F28C0.jpeg
    57 KB · Views: 1
  • C45B502F-0708-43FD-BAAB-7D4ECFFC0DBE.jpeg
    C45B502F-0708-43FD-BAAB-7D4ECFFC0DBE.jpeg
    58.4 KB · Views: 1
  • 66A882D3-9927-4F8C-BC51-ED056876E92C.jpeg
    66A882D3-9927-4F8C-BC51-ED056876E92C.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 4631DC6B-8F87-42FD-ACE0-1AF17D984B51.jpeg
    4631DC6B-8F87-42FD-ACE0-1AF17D984B51.jpeg
    55.5 KB · Views: 1
  • C5B20D4A-D371-45AD-BA66-981D7E725E42.jpeg
    C5B20D4A-D371-45AD-BA66-981D7E725E42.jpeg
    71.8 KB · Views: 1
  • 49E47890-32BB-4E5C-B5C6-C38321E5C4B0.jpeg
    49E47890-32BB-4E5C-B5C6-C38321E5C4B0.jpeg
    35.3 KB · Views: 1
  • F98BC3D1-4341-44AA-BD6C-6B0E21ABE61D.jpeg
    F98BC3D1-4341-44AA-BD6C-6B0E21ABE61D.jpeg
    58 KB · Views: 1
  • 768DEC5C-D63F-4851-A0F6-9451FB11E810.jpeg
    768DEC5C-D63F-4851-A0F6-9451FB11E810.jpeg
    115.9 KB · Views: 1
  • 78781569-B46E-48E8-B9D4-DD4E85656533.jpeg
    78781569-B46E-48E8-B9D4-DD4E85656533.jpeg
    23.3 KB · Views: 1
  • A6218055-DCA6-4C00-90A3-AA009A6A2DBA.jpeg
    A6218055-DCA6-4C00-90A3-AA009A6A2DBA.jpeg
    66.2 KB · Views: 1
  • DF667088-5439-4794-8A40-A5BBA5EE36A0.jpeg
    DF667088-5439-4794-8A40-A5BBA5EE36A0.jpeg
    50.6 KB · Views: 1
  • 011DB482-AFE6-4D90-80BD-1862173F3F19.jpeg
    011DB482-AFE6-4D90-80BD-1862173F3F19.jpeg
    37.4 KB · Views: 1
  • F464537F-A852-4D2F-A8FB-FE5ADD52564D.jpeg
    F464537F-A852-4D2F-A8FB-FE5ADD52564D.jpeg
    51.3 KB · Views: 1
  • 308B71AF-E3E9-469F-951F-44F96702EBF4.jpeg
    308B71AF-E3E9-469F-951F-44F96702EBF4.jpeg
    140.9 KB · Views: 1
  • 6A31DDD1-3D52-4548-8537-4A00BE7CF14F.jpeg
    6A31DDD1-3D52-4548-8537-4A00BE7CF14F.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • DB556B48-5244-40EB-B512-DCD54407DE1A.jpeg
    DB556B48-5244-40EB-B512-DCD54407DE1A.jpeg
    131.1 KB · Views: 1
  • BB09B829-78F1-462C-843C-948F194B36A6.jpeg
    BB09B829-78F1-462C-843C-948F194B36A6.jpeg
    150.5 KB · Views: 1
  • 07819B99-FBFE-4FEC-BE1D-1992E2CEE9A8.jpeg
    07819B99-FBFE-4FEC-BE1D-1992E2CEE9A8.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • 02B4B807-CD2E-4C9B-ADB1-3DA7DB2E67F5.jpeg
    02B4B807-CD2E-4C9B-ADB1-3DA7DB2E67F5.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
Muda utaongea...
 
Huyu PM sidhani kama kuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye bado anamuamini. Kauli zake nyingi zina utata tangu aliposema JPM ni mzima anaendelea na kazi!
Atatumia nguvu nyingi sana watu kumuamini tena kauli zake
Na endapo uchaguzi ujao akigombea,tumkatae kwa kusemasema uongo. Atatudanganya sana huyu jamaa. Haaminiki tena.
 
Back
Top Bottom