Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Aisee hivi mtu unaombaje kuaminiwa! How come 🤔 Untrustworthy! This is a total lack of confidence!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huyu bwana, wale tunaokumbuka historia yake kabla ya kuwa PM aliwahi kuwachapa fimbo walimu.Mbona kama anatufokea! kama Jambo zuri waendelee nalo Tu.
Sema wewe, sisi hatujuwi.Mkataba unasemaje?
Kwanini hujitokezi nyuma ya keyboard umwambie hayo hadharani? Mbona yeye anatamka hadharani?Aache uongo.
Kwani mochwari siyo kazi ile?Akamkaripie mama yake... hatuwataki DP World nukta.
Huyu mtu tangu aseme Magufuli anachapa kazi wakati mtu yupo mochwari nilimdharau na kumwona wa hovyo sana.
Kinachotakiwa sasa hivi serikali iamuwe kama serikali, watu wamesikilizwa sana, wameelimishwa sana. Sasa amabae hataki kusubiri mikataba, alambwe fimbo tu au akaisubirie lupango.Kuaminiwa ni gharama kubwa sana, huwezi kuaminiwa kama hujainvest ill uaminiwe Mr PM.
Hata matapeli kuna gharama wanaingia kabla hawajatapeli.
Sasa ulitaka bandari ziwe wapi? Angani?1. Kwanini bandari zote baharini, maziwani na nchi kavu?
2. Kwanini mwekezaji alindwe na IGA?
3. Kwanini IGA imeingiwa kati ya nchi na kampuni kupitia mgongo wa mji wa Dubai na sio nchi ya UAE?
Kama wewe umezowea kumakaripia mama'ko, jitokeze hadharani umwambie hivyo.Akamkaripie mama yake... hatuwataki DP World nukta.
Huyu mtu tangu aseme Magufuli anachapa kazi wakati mtu yupo mochwari nilimdharau na kumwona wa hovyo sana.
Waarabu si ndiyo wenye Dirham, ulitaka uuziwe wewe mwenzangu na mie, unaeamka asubuhi hujuwi uianze vipi?Munauza nchi kwa waarabu
Nyie na sisi tutakuwa tumekufa wajukuu wetu hawatapewa nafasi ya kuwahoji waarabu wakati huo
Mtalaaniwa
Mtatuua mtatumaliza sisi na watoto wetu, mtabaki nyie na watoto wenu na waarabu wenu, si itakuwa raha ehh.Kinachotakiwa sasaq hivi serikali iamuwe kama serikali, watu wamesikilizwa sana, wameelimishwa sana. Sana amabae hataki kusubiri mikataba, alambwe fimbo tu au akaisubirie lupango.
Akasema mwamba yupo ikulu na anachapa kazi acheni maneno maneno daah kilichofuata saa100 anakuja kulihutubia Taifa maja km maja akasema nitaficha wapi sura yangu Mimi muongo,Aache uongo.
Kifo kina kudanganya? Utaificha maiti mpaka lini? Au walitaka waliweke robot?Huyu anapoongelea jambo lenye utata ni lazima adanganye. Alidanganya mambo mengi, mpaka kifo cha mwendazake alitudanganya. AKAE KIMYA.
Emu na sisi tuoneMwabukusi huko amesha anza kutumiwa vitisho vya kumuua kutoka kwa watu wa Bi Chausiku
maandamano yenu yaliishia wapi, sijapata habari.Mtatuua mtatumaliza sisi na watoto wetu, mtabaki nyie na watoto wenu na waarabu wenu, si itakuwa raha ehh.
Naona Bi Chausiku maroho ya kumwaga damu za watu yamesha mwingia, sasa wapiga kelele wanatishiwa kuuwawa. Mwabukusi huko amesha anza kutumiwa vitisho vya kumuua kutoka kwa watu wa Bi Chausiku
Usisahau alisema hayati ankari Magu bado yupo na anapiga kazi siku moja baadae taarifa zinakuja nahisi maja km maja alilia kwa vitu viwili moja ankari katangulia mawinguni mbili kuudanganya umma wa waTZ, kwa hio ni kweli ana vinasaba vya uongo uongo watu kumuamini sasa wanatia mashaka that day angesema straight ankari hatunae angechukua point 3Kifo kina kudanganya? Utaificha maiti mpaka lini? Au walitaka waliweke robot?
Sasa hapa kakudanganya nini?
Mbona Mwabukusi mnataka kumuua?maandamano yenu yaliishia wapi, sijapata habari.
Nyie siyo wakuuliwa, wakuchezea bakora tu.
Emu weka humu hizo screenshot tuoneMbona Mwabukusi mnataka kumuua?
Hotuba yake myaiona siku ya kusaini mikataba kama alivyofanya kwemye mikataba ya SGR, mikataba hamsini au sitini kwa mpigo.Akasema mwamba yupo ikulu na anachapa kazi acheni maneno maneno daah kilichofuata saa100 anakuja kulihutubia Taifa maja km maja akasema nitaficha wapi sura yangu Mimi muongo,
404: Page Not Found