PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

PM Majaliwa: Watanzania tunaomba mtuamini (kuhusu uwekezaji Bandarini)

Tana nasikia mkataba na Waarabu wa kundesha na kuboresha mabasi ya mwendokasi upo tayari, wanangoja siku ya kukabidhiana tu ndiyo utangazwe.
Kwa hio unatufokea ?

404: Page Not Found
 
Sema hujayapenda tu aliyoyaongea.

Hivi shemeji yako yupi unaetaka auziwe bandari? Badala ya shemeji yetu Mwarabu wa Dubai?
Faiza unahitaji religious detoxification, uko na religious slavery to the extreme, majaliwa ni hamnazo kabisa, ule mkataba unajieleza halafu anaongea upimbi kama huo. Huyo ni kichaa na hao ngedere wanamakinika kumsikiliza na upumbavu wake
 
Tuliacha kumuamini siku aliyotiambia kwamba rais yupo mzima na anachapa kazi au tulitaka tumuone Kariakoo!
 
Munauza nchi kwa waarabu

Nyie na sisi tutakuwa tumekufa wajukuu wetu hawatapewa nafasi ya kuwahoji waarabu wakati huo

Mtalaaniwa
Na unga mkono hoja, nchi itakuwa kama SA Enzo za ubaguzi WA rangi na kutoka ktk mfumo kama huo ni shughuli.
 
Hujapata shemeji wa kutokea Dubai bado? Dar hapatoshi, palivyojaa ma handsome wa Kiarabu, japo kunanukia uturi.
Yaan shemeji kwako au kwa yule wa jumba jeupe ?

404: Page Not Found
 
Mrembo bado hujaopoa ji handsome la Kiarabu. au unaishi wapi wewe? Dar hapatoshi miji handsome na Dirham zao ilivyojazana.
Huu sasa uchokozi, anakwambia kingine unamwambia kingine umtoe kwenye reli

404: Page Not Found
 
Yaan shemeji kwako au kwa yule wa jumba jeupe ?

404: Page Not Found
Wewe hujapata shemeji wa Kiarabu bado?

Mama wajumba jeuoe Wajomba zake hao, hivi unafikiri mkorogo ule? Toto la Kiarabu lile. Jionee chini alipotembelea ukoo wake wa Oman akifanyiwa dua: Si unaona hapo hata bodyguard wake kawekwa mbalikabisa, kaambiwa damu nzito kuliko maji, sogea huko, nipo kwetu hapa.

1688781470748.png
 
Nilitaka kuwa mtu wa mwisho kumchukia Pm lakini kuanzia sasa simuamini tena.

Tatizo kubwa lanchi hii nikatibayetu inayompa mamlaka mtu mmoja kiasi cha kuogopwa kuliko hata muumba wetu.

Pamoja na mambo mengine hii katiba nilazima irekebishwe kwa namna yoyote Ile.
Watu wengi na heshima zao na elimuzao pamoja na hofuzao kwa Mungu lakini wanajitoa ufahamu kwa kushindwa kuongea ukweli kwasababu ya uoga.
 
Nilitaka kuwa mtu wa mwisho kumchukia Pm lakini kuanzia sasa simuamini tena.

Tatizo kubwa lanchi hii nikatibayetu inayompa mamlaka mtu mmoja kiasi cha kuogopwa kuliko hata muumba wetu.

Pamoja na mambo mengine hii katiba nilazima irekebishwe kwa namna yoyote Ile.
Watu wengi na heshima zao na elimuzao pamoja na hofuzao kwa Mungu lakini wanajitoa ufahamu kwa kushindwa kuongea ukweli kwasababu ya uoga.
1688782480804.png
 
Hizi sheria wanazotaka kubadili maana yake nini.
 
Sakata la DP World na Bandari, Jenerali Ulimwengu asema Serikali imepoteza imani ya wananchi

Tumekuwa taifa la waongo ongo , sasa ikianzia Kwa viongozi baadae yetu itakuwaje.

Pili hili la kudharau wataalamu wetu ni tatizo jingine.

Tatu kutumia watu wasioelewa kitu kuwadanganya watu ni tatizo jingine. Sijui Manara na wengineo.

Spika na utaalamu wake WA Sheria Naye kutokuweza kutofautisha nkataba na makubaliano Kwa makusudi au Kwa Nia ya kupotosha umma.

Sasa huko kwenye Bunge la IPC akipigwa swali ya makubaliano dhidi ya nkataba sijui atasema nini
 
Wewe uko shimoni, hata hujitambui.

Ni Kwa Nini wapewe Bandari zote za Tzania Bara.Kwa Nini hUO mkataba usihusishe pia Bandari za Znzibar,Wakati Bandari Ni Swala la MUUNGANO?

Ina maana Zanzibar wao hawataki uwekezaji huu wenye Faida Kubwa ? Ati tuwaamini Viongozi! Tutawaamini vipi.Wao watachukuwa Chao mapema,anatawala miaka yake 10 anao doka madarakani.

Hiyo hasara yoote na mzigo wooote anabaki nao Mtanzania miaka yote 40 au 90 inayobaki.HALAFU HAO VIONGOZI WANAYOFANYA HAYO MAAMUZI YA HASARA HIVI, TAYARI WAMEJITUNGIA SHERIA YA KUTOSHITAKIWA baada ya kustaafu.

Kama MAAMUZI yao hayana HILA,Ni kwa Nini watunge Sheria ya kujiwekea Kinga ya KUTOSHITAKIWA kwa uovu na wizi wanaoufanya wanapokuwa madarakani
 
Majaliwa ameshamalizwa kisiasa, kwa kushinikizwa kuwa mtetezi wa DPP.
 
Viongozi si wajinga wakubali yale yaliyoletwa mtandaoni eti ni mkataba wa DP world...kwahiyo tunahitaji kuendelea kuwaamini na kuamini kilicholetwa mtandaoni sio kweli
Kwani kilicholetwa mitandaoni kimetengenezwa mitandaoni? Kwani kilicholetwa mitandaoni chenye sahihi ya Rais Samia, siyo alichokisaini Rais?

Hoja kama hizi ndizo zinazowafanya watetezi wa DP, karibia wote waonekane ni watu wasio na akili timamu, hawana upeo, hawana uwezo wa kujenga hoja, na ni watu wanafiki ambao uwezo wao unaishia kwenye kuimba vibwagizo vya viongozi wenye hila na siyo kufikiri.
 
Huu mkataba unaenda kutengeneza "Radicals" wengi sana. Naona serikali inacheza na mioyo ya watu.

Kama kilichosainiwa ni IGA, imekuwaje huyo mwekezaji ajitokeze kwenye makubaliano ya nchi na nchi?

Makubaliano ya nchi na nchi yanawezaje kusainiwa na mwekezaji? PM anataka kutudanganya wazi wazi.
IGA ni formality tu ya bungeni. Hizi HGAs ndio kila kitu na ndizo zinazoweza kuuvunja hiyo IGA iliyosainiwa bungeni.
 
Back
Top Bottom