PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

Mi natumia moniccca hizo nyingne zitafutieni PA kwenda, hata hivyo hata kama zingekuwa zangu kwanini nizikane?
Unamaanisha hauna sababu ya kuzikana..ila kiuhalisia hauna sababu ya kuzikubali hah hah
 
Mi natumia moniccca hizo nyingne zitafutieni PA kwenda, hata hivyo hata kama zingekuwa zangu kwanini nizikane?





Hivi huyo Mr Jf msumbenje haufanyi kazi nini maana na kibaridi hiki honey moon upo Jf
 
acha kuteletea maigizo unafikiri ndoa mchezo endelea kujifariji humu jf na ID zaidi ya moja
Hata kama ninazo kumi wew haikuhusu..kakojoe ukalale usije chelewa shule kesho kisa moniii
 
Mie ndiyo moniccca bhana, Mungu alitulia kuniumba mwanamke nikaumbika, akanijazia na akili nyingi sana...cheza na mbarikiwa wewe!
 
Hata kama ninazo kumi wew haikuhusu..kakojoe ukalale usije chelewa shule kesho kisa moniii





Punguza maigizo unafikiri ndoa kama vile unacheza kidali poo na watoto wenzako.....endelea kuishi kwa kufikirika kufungua ID zaidi ya moja
 
Midomo zege lakini simu haina zegee tunatongoza kwa ku beep[emoji6]
 
Huna shukrani na PM maana ndo imekufanya uoelewe.
 
Blue: Wanaume wasipovizia mademu ili wawatafune, unataka wavizie mitetea au mbuzi??

Red: Aliyekuambia mademu wa JF hawako mitaani ni nani? Au unadhani mademu wa JF tukikutoa wewe wako sayari ya Mars??
Hili ndo jibu murua kabisa mkuu...asante.
 
Mie hua naogopa kutongoza wanawake wa JF maana siwafahamu na hawatumii majina yao halisi. unaweza kujikuta unamtongoza wife
Mkuu kama una mke tulia usihangaike kumsaliti.wewe changia kwenye majukwaa mengine kama siasa n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…