Waheshimiwa ndiyo rahisi kupata, maana wengi wanawaogopa. Pia wanawaogopa waheshimiwa wenzao waliyooa. wakifanya mzaha kesi zitinga bungeni...AAAIIIBUU!Du. Mbona utanifanya nifunge safari mkuu. Kumbe hata kupatikana wanapatikana? Mimi nilidhani ni waheshimiwa hata kuongea nayo ni vigumu. Pengine ukiwa tena na noti ya kutosha na gari ''linalosomeka'' unaweza kuwapanga mstari? 🤣 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usishangaa cycle yake mulemule mjengoni.
Au ma alwatan wa chama
Usikute hata kimbunga jobo kajipuluzia nae[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye ndo kapigwa hela ndo maana kinamuuma...hivi mchepuko utapataje nguvu za kuvunja hadi geti ili uweke shada la maua kwenye jeneza[emoji848][emoji848][emoji849]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie huwa nachoka hapo tyuuh.Nani kakwambia wabunge hawana njaa. Nenda kwenye mabenki uone mikopo wanayodaiwa.
Vicky kamata alikua mbunge ila saiv anagombania urithi na wanae wa kambo
Hakuna cha mirathi kwa mchepuko, labda awe amezaa naye. Hapo mtoto ana haki!Hapo tatizo sio kuzika tatizo ni kutambulika kwenye MIRATHI.
Pesa Pesaa
Hakukuwaga na Talaka Bali walifanya separation na Hii Inakubalika KisheriaSawa.
Kwa nini aachwe mpaka talaka mahakamani?kaachwa zaidi ya miaka 2.
Mkubali tu Cathy kawazidi
Umri pia unamtupa Sasa Maana huwezi Kuwa Mzuri Maisha Yako Yote.... Wanasema Umalaya na Umri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole sana kwa Catherine Magige
Uzuri hanaga taabu huyu dada, msiba ukiisha tuu atajipatia mahusiano mapya
Rest well madoda
Mbona hajawahi kuchumbiwa mpaka leo hii ana miaka arobaini na usheee?Ila Catherine ni chuma balaa
Magige si wa kupewa pole. Kwanza, inashangaza mbunge mzima anafanya mambo ambayo hata mtu asiyeitwa mheshimiwa hawezi kufanya kana kwamba hakwenda shule. Kama alikuwa akimpenda si angemuoa? Je kwanini marehemu na Magige hawakumaliza sakata moja na kuoana badala ya kuanza kufanya uhuni? Kutengana si kuvunja ndoa.Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex Tra Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ua umauti haujamkuta. Walinza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.
Walitofautiana kwenye mambo ya kimapenzi hivyo walitengana less than two years ago, they were still working on official separation/divorce lakini ilikuwa bado haijatoka. Marehemu Madoda kama mwanamke alikuwa na
Ni huyu Shigella mkuu wa mkoa? Kama ni huyu mbona hatari kwasababu huwa naona kama afya yake si nzuri sana. Hata mzee wetu Balozi anaonekana kama vile hayupo stable sana kiafya ingawa sina uhakika labda ni kwasababu ya umri.Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Kwa nini kwa moto wkt yule balozi dini inaruhusuHakuna anaekaa pale, hapakaliki.
Kwa urembo hata mie ningemtafuna huyo mtoto Caty! 😻😻😻 yuko bomba sanaMna masumbuko.
Acheni wivu Cathy kawapita kwa uzuri, pesa connection na kwa wanaume wenye mapene.
Wewe pia huna uwezo wa kumkataa kagasheki sema hiyo bahati huna.
Mtoto mzuri kweli sema kwa kawaida tu Caty huwaga malaya sana sijui kwanini yani? Hili jina bana
Nimeshangaa kusikia caty anaitwa mke ilihali bado yuko kwenye mazingira ya hawaraMagige si wa kupewa pole. Kwanza, inashangaza mbunge mzima anafanya mambo ambayo hata mtu asiyeitwa mheshimiwa hawezi kufanya kana kwamba hakwenda shule. Kama alikuwa akimpenda si angemuoa? Je kwanini marehemu na Magige hawakumaliza sakata moja na kuoana badala ya kuanza kufanya uhuni? Kutengana si kuvunja ndoa. Walipaswa wavunje ndoa kwanza ili wawe na uhuru wa kuoa na kuolewa. Huyu ni mhuni wa kawaida ambaye huenda amekuwa chanzo cha wawili waliokuwa mke na mme kukosana. Huyu anaweza kuonekana kama ni gold digger tu ambaye ameamua kuvuruga ndoa ya wenzake ili apate yeye. Sitaki nimhukumu kwani sijui stori nzima ila hili haliepukiki kwa vile walivyojiamini bila kuvunja ndoa ya kwanza.